Mama D kuna siku utawa juwa hao jamaa ni mahakimu wasio kuwa na sheria inayo kupa nafasi ya wewe kujitetea wata kuhukumu watakavyo wao!Mwaka 2012 nilijifunza kuwa na records za mawasliano yote, malipo na documents zangu zote ninazowapa TRA. Chochote kiwe malipo au mawasliano yawe ya maandishi au maneno nina records kamili.....maana staki kuingia gharama nikiyowahi kuingia
kwa hiyo kama mtaji wangu ni sh mia nikauza nikapata sh. mia kumi na nane , tra wanalamba hivyo kumi na nane?VAT wanachukua 18% ya mauzo yote, wakati walitakiwa wawe wanachukua asilimia 18 kwenye faida yaani ukizembea hapo kwenye VAT wanapita na mtaji wako bila huruma,
Wajibu wa TRA ni kuwasaidia wateja wake kuwapa miongozo sahihi ya kukuza biashara kwa kuwapa elimu pale wanapofanya makosa ya kiutendaji lakini bahati mbaya vijana wengi watendaji wa TRA wanawategeshea wateja wafanye makosa ili wawaadhibu.Mama D kuna siku utawa juwa hao jamaa ni mahakimu wasio kuwa na sheria inayo kupa nafasi ya wewe kujitetea wata kuhukumu watakavyo wao!
Wata kukuta na kakosa kadogo tu cha kibinaadamu apo watageuka kuwa mashetani tiari kwa kukuhukumu bila huruma
Umenikumbusha ule usemi ukitaka kumshika faru nyeti zake uwe na uhakika na mbio zako......ndukiiiiNilipokua chuoni nimeshuhudia vilaza wengi sana wakiajiriwa,sijui ni bahati ama connection lakini ukweli ni kwamba serikalini vilaza ni wengi sana na ndio chanzo cha haya mambo ya hovyo yanayoendelea,
Mifumo ya ukusanayaji kodi ilitakiwa ifanye watu walipe kodi pasipo kuleta mvurugano kwenye biashara,tatizo la sasa ni hao waliopo maofisini kuanzia juu mpaka chini ni zero.
Tanzania ya sasa TRA anaogopwa kuliko mwenyezi Mungu,
Naishauri serikali iongeze kujenga magereza kila wilaya na kila Kijiji kwani taratibu za kodi za utawala huu zitapelekea wafungwa kuongezeka kiasi cha mahabusu na magereza kuzidiwa.
Mlipaswa kujiuliza hivi licha ya adhabu kali zitolewazo kila siku,watu wanafungwa na wengine mnawapiga faini lakini watu ni kama hawasikii,kwanini?
Yani ni kama vile mtunge sheria kwamba ni marufuku kufanya mapenzi na yeyote atakayekamatwa kifungo ni miaka mitano,mnafikiri watu wataacha kujamiiana?
Yani serikali ya sasa yenyewe ni nguvu mbele akili nyuma,wakisikia watu wanalalamika maisha magumu wao ndio wanaona wamefanikiwa,kweli maajabu hayaishi duniani.
Yaan ilo swala la kulipa kodi kabla ujafungua biashara hata mm liliniachaga kinywa wazi,,,, eti ukienda kuomba TIN namba ya biashara wanakukadilia kabsa kodi ukalipe thn ndo wakupe TINKodi watu wanapenda kulipa lakini kama watafuata ushauri wa Rais Mwinyi wa kukusanya kodi kidogo kwa watu wengi itasaidia kuliko kodi kubwa afu unakusanya kwa watu wachache na kodi mfumo wake haupo wazi ushaona wapi mtu unaanza kulipa kodi ndio ufanye biashara?
ipi hiyoKuna member alisema hatofanya biashara yeyote ambayo inaingiliana na TRA kwa kipindi hichi.
Hii dhana ni ngumu sana kwenye mfumo wa tz,VAT analipa mtumiaji wa mwisho, haina uhusiano na turnover au mtaji wa mfanyabiashara. Mfanyabiashara ni wakala tu wa kuikusanyia serikali.
Wewe unaota!Si muache CCM iwaudhi wananchi ili waichukie na kuwachagua nyinyi ili mrekebishe mambo ili nchi iwe ya maziwa na asali.
Kelele za NINI?
Naomba nieleweshe kidogo hapo mkuu. Maana naogopa mwaka huu nahisi nitaingizwa kwa mfumo wa VAT, japo aliyeniambia hakunifafanulia nikaelewa. Nami nimezoea mfumo wa makadirio tu.VAT analipa mtumiaji wa mwisho, haina uhusiano na turnover au mtaji wa mfanyabiashara. Mfanyabiashara ni wakala tu wa kuikusanyia serikali.
Hio elimu utapewa kwa njia ya kutandikwa fine za kukumaliza kabisa mchezoni. Una mtaji wa 15M unapigwa fine ya 35M utatoboa?Wajibu wa TRA ni kuwasaidia wateja wake kuwapa miongozo sahihi ya kukuza biashara kwa kuwapa elimu pale wanapofanya makosa ya kiutendaji lakini bahati mbaya vijana wengi watendaji wa TRA wanawategeshea wateja wafanye makosa ili wawaadhibu.
Wanasahau kazi waliyotumwa, wanasahau baadhi ya adhabu za makusudi za kutegeshea wateja zinawahusu hata wao maana zinadhihirisha utendaji wao wa hovyo.
Ifike mahala wawajibike pale inapojulikana kwamba biashara imefungwa kwa uzembe wao
Nilikadiriwaga laki 1 nikatoka mbio 🤣🤣🤣 na wala ile laki sikupeleka niliishia kuandika barua kuwa biashara haikufanyika. Nika submit wa ofisi ya regional officer sasa sijui aliijibuje maana sikufuatilia.Yaan ilo swala la kulipa kodi kabla ujafungua biashara hata mm liliniachaga kinywa wazi,,,, eti ukienda kuomba TIN namba ya biashara wanakukadilia kabsa kodi ukalipe thn ndo wakupe TIN
Nani wa kiwawajibisha?Wajibu wa TRA ni kuwasaidia wateja wake kuwapa miongozo sahihi ya kukuza biashara kwa kuwapa elimu pale wanapofanya makosa ya kiutendaji lakini bahati mbaya vijana wengi watendaji wa TRA wanawategeshea wateja wafanye makosa ili wawaadhibu.
Wanasahau kazi waliyotumwa, wanasahau baadhi ya adhabu za makusudi za kutegeshea wateja zinawahusu hata wao maana zinadhihirisha utendaji wao wa hovyo.
Ifike mahala wawajibike pale inapojulikana kwamba biashara imefungwa kwa uzembe wao
Kwa mfumo wa kodi wanazopiga TRA unapofanya biashara unafikiri unaweza ukatoboa?Wajibu wa TRA ni kuwasaidia wateja wake kuwapa miongozo sahihi ya kukuza biashara kwa kuwapa elimu pale wanapofanya makosa ya kiutendaji lakini bahati mbaya vijana wengi watendaji wa TRA wanawategeshea wateja wafanye makosa ili wawaadhibu.
Wanasahau kazi waliyotumwa, wanasahau baadhi ya adhabu za makusudi za kutegeshea wateja zinawahusu hata wao maana zinadhihirisha utendaji wao wa hovyo.
Ifike mahala wawajibike pale inapojulikana kwamba biashara imefungwa kwa uzembe wao
Mfano ip hiyo nasi tujiungeKuna member alisema hatofanya biashara yeyote ambayo inaingiliana na TRA kwa kipindi hichi.
me nilijichanganya nilienda mbeya nikafungua ki grocery kodi nikakadiliwa laki nne,, nilifanya ile biashara mwaka mmoja tu nikafunga mbaya zaid sikutoa taarifa kama nimefunga nikarudi darNilikadiriwaga laki 1 nikatoka mbio na wala ile laki sikupeleka niliishia kuandika barua kuwa biashara haikufanyika. Nika submit wa ofisi ya regional officer sasa sijui aliijibuje maana sikufuatilia.
VAT inatolewa kwa mfanyabiashara ambaye mauzo yake ni m100 kwa mwaka ama m50 kwa miezi sita(mauzo si faida). Kinachotokea ukiwa wakala wa VAT hakikisha mzigo wako ukinunua unanunua kwa mtu mwenye VAT ili utakapouza na ww utoe VAT. Usikubali kupewa risiti isiyo kamili(naamini unaelewa maana ya neno risiti kamili). Ukifanya hivyo VAT haitakuumiza kabisa ww mfanyabiashara maana utakaponunua utailipa kisha utakayemuuzia atakurudishia. Tofauti ya 18% ya mauzo na manunuzi ndiyo utakayoipeleka TRA. Faida yako haitaguswa kabisa na VAT. Ukifanya tofauti utaichukia sana VAT na maisha yako yote yatakuwa ya kujificha ficha TRA wasikutane na wewe.Naomba nieleweshe kidogo hapo mkuu. Maana naogopa mwaka huu nahisi nitaingizwa kwa mfumo wa VAT, japo aliyeniambia hakunifafanulia nikaelewa. Nami nimezoea mfumo wa makadirio tu.