Recent content by Bahati lucky

  1. Bahati lucky

    Kwanini wanawake wanajiondoa kwenye makundi ya mapishi?

    Mmmm umeshinda tabia aisee
  2. Bahati lucky

    Kwanini wanawake wanajiondoa kwenye makundi ya mapishi?

    Kwa kuwa niko single nimejikuta napenda sana kupika chakula kitamu, nikawa nimepata link moja ya group la mapishi whatsApp nikajiunga. Majaabu niliyoona ni kuwa pamoja na kuwa kundi liko hot kwa kuleta mapishi mbalimbali lakini akina dada wetu wana LEFT kila siku. Nimeshindwa kupata MAJIBU...
  3. Bahati lucky

    Natafuta Mchumba/Mme

    Inawezekana kabisa ila kesi iko kwenye kubaini nan anafaa.maana maomba yatakuwa mengi sana.
  4. Bahati lucky

    Zitambue 'Code' mbali mbali za Watu wanao Cheat katika Mapenzi

    Niliwahi kuwa cheated na mchumba wangu wa kitambo Aisee shikamooo wanawake, alikuwa kasevu MSUMBUFU,akipigiwa anamtukna kweli yaan wanatukanana hatar, kumbe yake ni kuwa mi nipo ili wasipige story zao, nilipogundua nilichoka aiseeee!!!!
  5. Bahati lucky

    Mwenye upendo wa kweli awe mke

    Daaaa haya mambo bana mmmmmmm
  6. Bahati lucky

    Mdogo wangu aliazima pesa sasa anadaiwa riba kama mkopaji

    Nina mdogo wangu aliazma pesa kwa jamaa mmoja maajabu muda wa kurudisha akaombwa riba, na makubaliano yao ni kuazma kawaida bila riba maana mtoa pesa hajasajiriwa na mamlaka husika na hatambiliki kama mfanya biashara wa kukopesa pesa, Hapo sheria ina mbeba yupi maana mdai anasema lazma...
  7. Bahati lucky

    Mwenye upendo wa kweli awe mke

    Hakuna jipya ndugu! Uliona ufurahishe watu badala yake unajitukana mwenyewe. Pole sana.
  8. Bahati lucky

    Mwenye upendo wa kweli awe mke

    Nimemsamehe!!!!!! Ndo raha yake kutukana
  9. Bahati lucky

    Mwenye upendo wa kweli awe mke

    Marekani
  10. Bahati lucky

    Simba mmepigwa tena kimoja Na azam.

    Duuuuuuu mmmmmm aiseeeeee
  11. Bahati lucky

    Majaji Kazini

    Hayo maji wanayokunywa lazma yatasaidia jambo
  12. Bahati lucky

    Mwenye upendo wa kweli awe mke

    Ahsante kaka
Back
Top Bottom