Kwa kuwa niko single nimejikuta napenda sana kupika chakula kitamu, nikawa nimepata link moja ya group la mapishi whatsApp nikajiunga.
Majaabu niliyoona ni kuwa pamoja na kuwa kundi liko hot kwa kuleta mapishi mbalimbali lakini akina dada wetu wana LEFT kila siku.
Nimeshindwa kupata MAJIBU...
Niliwahi kuwa cheated na mchumba wangu wa kitambo
Aisee shikamooo wanawake, alikuwa kasevu MSUMBUFU,akipigiwa anamtukna kweli yaan wanatukanana hatar, kumbe yake ni kuwa mi nipo ili wasipige story zao, nilipogundua nilichoka aiseeee!!!!
Nina mdogo wangu aliazma pesa kwa jamaa mmoja maajabu muda wa kurudisha akaombwa riba, na makubaliano yao ni kuazma kawaida bila riba maana mtoa pesa hajasajiriwa na mamlaka husika na hatambiliki kama mfanya biashara wa kukopesa pesa,
Hapo sheria ina mbeba yupi maana mdai anasema lazma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.