Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,973
- 831,544
Hahaha mkono mtupu haulambwi, kama a/c inasomeka nitakuwa mke mwema, mpole, na mpishi bora na mengine mengi mazuri tu.

Hahaha mkono mtupu haulambwi, kama a/c inasomeka nitakuwa mke mwema, mpole, na mpishi bora na mengine mengi mazuri tu.

MarekaniMarekan hilo sio tusi
Nimemsamehe!!!!!! Ndo raha yake kutukanaDah. Kwa nini umemtukana aisee.
Hakuna jipya ndugu! Uliona ufurahishe watu badala yake unajitukana mwenyewe. Pole sana.Sijamtukana nimemwambia ukweli yeye kama mwanaume asiige kwa mtu maisha.
Pmasante mungu najua nmepata mume ila haujasema unaptkn wapi mchumba mtarajiwa
dear mpk pm nipm namba
Daaaa haya mambo bana mmmmmmmnatamani nijidogoshe, kipengele cha umri kinabana khaa au nije tu hata hivyo si wanasema umri ni namba
Mkuu sasa kwann usichumbiwe naNinataka kujua kigezo cha bank a/c kama inasomeka.
Akikiweka naomba unistue niwahi foleni.Ninataka kujua kigezo cha bank a/c kama inasomeka.
Wewe ni mke mwenzangu wa kudumu. Ulipo nipo

unaonaje wewe ndo ubaki hukoUsinifanyie hivyo mama, yule nimekuachia mzima mzima usimbakize hata nusu, ila huyu plzzzzzz niachie tu.![]()
![]()
unaonaje wewe ndo ubaki huko