Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,787
Nipo wangu...Ukimpata nistue na mimi nianze kutafuta.
Nipo wangu...Ukimpata nistue na mimi nianze kutafuta.
kugawa kadiKwahiyo lengo lako ni Harusi tu
Ameanzia juu sana umri, ni namba tu, hao anaowatafuta unazani atapata kwa umri mtu bado hajaoa labda aliyefiwa na mkewe.Kaanzia juu sana
Ameanzia juu sana umri, ni namba tu, hao anaowatafuta unazani atapata kwa umri mtu bado hajaoa labda aliyefiwa na mkewe.
ashuke kidogo kuanzia kwenye 25..... aone pm itakavyo jaaNjoo pm tuzungumzeNi Msichana mwenye umri wa miaka 28, mkristo, Elimu ya chuo nahitaji rafiki ambaye kama itampendeza Mungu awe mchumba kisha mme hadi kifo kitutenganishe awe Mkristo, kabila lolote awe mcha Mungu, Elimu ya chuo umri miaka 30 hadi 40
Aliye tayari anipm tutazungumza vingi
Natangulisha shukrani zangu za dhati
N.B
SITANII NINA MAANISHA GUYS SITOPENDA DHIHAKA NAIMANI HII PIA NJIA SAHIHI NILIYOITUMIA NITALETA MREJESHO NIKIFANIKIWA NA KADI YA MWALIKO JUU
same as me kskaJe sie tusokuwa na Dini hatuna nafasi?
vp kuhusu tuloishia Darasa la nne la mkoloni ?
Hakunaga kasecond selectin? akikosekana wa chuo
![]()
![]()
![]()
![]()
Unataka kunipa talaka mimi jamani!!Ukimpata nistue na mimi nianze kutafuta.
Inawezekana kabisa ila kesi iko kwenye kubaini nan anafaa.maana maomba yatakuwa mengi sana.Ni Msichana mwenye umri wa miaka 28, mkristo, Elimu ya chuo nahitaji rafiki ambaye kama itampendeza Mungu awe mchumba kisha mme hadi kifo kitutenganishe awe Mkristo, kabila lolote awe mcha Mungu, Elimu ya chuo umri miaka 30 hadi 40
Aliye tayari anipm tutazungumza vingi
Natangulisha shukrani zangu za dhati
N.B
SITANII NINA MAANISHA GUYS SITOPENDA DHIHAKA NAIMANI HII PIA NJIA SAHIHI NILIYOITUMIA NITALETA MREJESHO NIKIFANIKIWA NA KADI YA MWALIKO JUU
Din?Ni Msichana mwenye umri wa miaka 28, mkristo, Elimu ya chuo nahitaji rafiki ambaye kama itampendeza Mungu awe mchumba kisha mme hadi kifo kitutenganishe awe Mkristo, kabila lolote awe mcha Mungu, Elimu ya chuo umri miaka 30 hadi 40
Aliye tayari anipm tutazungumza vingi
Natangulisha shukrani zangu za dhati
N.B
SITANII NINA MAANISHA GUYS SITOPENDA DHIHAKA NAIMANI HII PIA NJIA SAHIHI NILIYOITUMIA NITALETA MREJESHO NIKIFANIKIWA NA KADI YA MWALIKO JUU
mkristoDin?
AmenKila la Kheri mkuu
Mungu atamleta aliye bora nina sali pia asante kwa kujal rafikiInawezekana kabisa ila kesi iko kwenye kubaini nan anafaa.maana maomba yatakuwa mengi sana.
Asante Jerry kwa kujali nipo makiniKila la kheri. Ila usisahau kuwa mwangalifu.
Ukianza kutafuta na mimi nistue.Ukimpata nistue na mimi nianze kutafuta.