Zitambue 'Code' mbali mbali za Watu wanao Cheat katika Mapenzi

Zitambue 'Code' mbali mbali za Watu wanao Cheat katika Mapenzi

Ewalaa!! Hayo ndio mambo, kisa cha kuishi kama unaoga njia panda ili iweje!! Muda wa kukaa ufikirie ya maana unafikiria codes za kuchepuka!! Waii!!!
Maisha yenyewe sikuhiz yanabanaaa uchumi nao umebanaaaa mtu unapata wapi huo Muda???
 
Ningependa kusikia story yako umefumuliwa marinda
 
Swala la Kucheat katika mapenzi suala moja Mtambuka sana! Asilimia 90 ya watu waliopo kwenye mahusiano mmoja wao anacheat! So kugundua kuwa nani anacheat ni kitu kimoja kikubwa sana ambacho kila mtu angependa kukijua!

Kiukweli na kiuhalisia ni rahisi sana kumkamata mwanaume anae cheat lakini sio mwanamke anae cheat! Mwanamke anae cheat kumkamata ni kazi sanaa unless yeye aamue kukonesha kuwa anacheat ili muachane na hii huwa baada ya kuwa amekuchoka au huna vile vitu anavyo vitaka yeye! Mfano maybe huwezi rough sex,or may be huwezi ku act like a man,or may be your not harsh wewe kila kitu ukiambia ni sawa! Na vitu vingine vingi kifupi sio Mbunifu kwenye mahusiano yenu!

Sasa kuna code mbalimbali ambazo mwanamke au mwanaume anazitumia katika kucheat hasa kuwasiliana na yule mtu anae cheat nae! Nitakupeni mfano mmoja wapo!

Mimi sijaoa lakini kuna mke wa mtu alinipenda na nikawa na cheat nae sababu ni kuwa nipo HARSH sana kwenye mapenzi na ni muumini sana wa Rough sex! So kupitia kile alinipenda sanaa hadi kufikia hatua nikawa nina control ndoa yake like leo namwambia sitaki usex na bwana ako basi kweli hata sex nae atamwambia hata tumbo kuwa linauma! Ile kumwambia tuu leo sitaki ufanye hivi japo am wrong lakini nalazimisha my wrong way to be a true way!

Yule mke wa mtu alinipenda sana hadi leo hii....and tukienda kwenye sex nilikuwa so rough...leo kwenye gari,kesho parking kesho kutwa kwenye koshi,mtondogoo hoteli mara chooni so i was so harsh and rough!

Sasa nitafanyaje kuwasiliana nae n huku yeye ana mwanaume na watoto! Yeye akanifundisha na Kunipa CODE ambayo tukawa tunaitumia

Ipo hivi Alisema mimi nikitaka kuchat nae namtumia neno PEPSI yeye akijibu COCA means hapo naweza kuchat nae na kupanga mipango yetu yote baada ya kumaliza ana delete convo imetoka hiyo! So mwanaume wake hata akishika simu hawezi kuona chochote!! Pia nikimtumia neno PEPSI akanijibu FANTA means No chating anymore and we can't chat hapo ujue mwanaume wake yupo so nyeusi inaenda kwa nyeusi! Hivyo hivyo na kwakwe kama yeye anataka kuchat na mimi atanitumia NENO pepsi hapo najua yupo peke ake na ninaweza chat nae!

Nikimtumia neno PEPSI akanijibu PEPSI FANTA! Means jamaa yake yupo lakini tunaweza kuchat haina shida! So ikawa hivyo baada ya kumaliza ana delete hakuna kusave jina wala nini mwanaume wake atakagua hiyo simu haoni kitu!

Sasa Twambie ni CODE GANI WEWE unayo ifahamu ambazo zinatumika kwa watu wano cheat mimi na ifahamu hiyo ya PEPSI FANTA COCA wewe je?
Ngoja aweke pini kwenye papuu....yake ,, wewe na pepsi yako mtabakia kwenye kampuni teh
 
Niliwahi kuwa cheated na mchumba wangu wa kitambo

Aisee shikamooo wanawake, alikuwa kasevu MSUMBUFU,akipigiwa anamtukna kweli yaan wanatukanana hatar, kumbe yake ni kuwa mi nipo ili wasipige story zao, nilipogundua nilichoka aiseeee!!!!
 
mimi ndo kwanza naskia leo...
kweli kuchepuka kazi!
kisa cha kujipa uwakala wa pepsi na coca kama duka la jumla? mpango wa kando???!!!!
Em mimi nitulizane!!!!
 
Swala la Kucheat katika mapenzi suala moja Mtambuka sana! Asilimia 90 ya watu waliopo kwenye mahusiano mmoja wao anacheat! So kugundua kuwa nani anacheat ni kitu kimoja kikubwa sana ambacho kila mtu angependa kukijua!

Kiukweli na kiuhalisia ni rahisi sana kumkamata mwanaume anae cheat lakini sio mwanamke anae cheat! Mwanamke anae cheat kumkamata ni kazi sanaa unless yeye aamue kukonesha kuwa anacheat ili muachane na hii huwa baada ya kuwa amekuchoka au huna vile vitu anavyo vitaka yeye! Mfano maybe huwezi rough sex,or may be huwezi ku act like a man,or may be your not harsh wewe kila kitu ukiambia ni sawa! Na vitu vingine vingi kifupi sio Mbunifu kwenye mahusiano yenu!

Sasa kuna code mbalimbali ambazo mwanamke au mwanaume anazitumia katika kucheat hasa kuwasiliana na yule mtu anae cheat nae! Nitakupeni mfano mmoja wapo!

Mimi sijaoa lakini kuna mke wa mtu alinipenda na nikawa na cheat nae sababu ni kuwa nipo HARSH sana kwenye mapenzi na ni muumini sana wa Rough sex! So kupitia kile alinipenda sanaa hadi kufikia hatua nikawa nina control ndoa yake like leo namwambia sitaki usex na bwana ako basi kweli hata sex nae atamwambia hata tumbo kuwa linauma! Ile kumwambia tuu leo sitaki ufanye hivi japo am wrong lakini nalazimisha my wrong way to be a true way!

Yule mke wa mtu alinipenda sana hadi leo hii....and tukienda kwenye sex nilikuwa so rough...leo kwenye gari,kesho parking kesho kutwa kwenye koshi,mtondogoo hoteli mara chooni so i was so harsh and rough!

Sasa nitafanyaje kuwasiliana nae n huku yeye ana mwanaume na watoto! Yeye akanifundisha na Kunipa CODE ambayo tukawa tunaitumia

Ipo hivi Alisema mimi nikitaka kuchat nae namtumia neno PEPSI yeye akijibu COCA means hapo naweza kuchat nae na kupanga mipango yetu yote baada ya kumaliza ana delete convo imetoka hiyo! So mwanaume wake hata akishika simu hawezi kuona chochote!! Pia nikimtumia neno PEPSI akanijibu FANTA means No chating anymore and we can't chat hapo ujue mwanaume wake yupo so nyeusi inaenda kwa nyeusi! Hivyo hivyo na kwakwe kama yeye anataka kuchat na mimi atanitumia NENO pepsi hapo najua yupo peke ake na ninaweza chat nae!

Nikimtumia neno PEPSI akanijibu PEPSI FANTA! Means jamaa yake yupo lakini tunaweza kuchat haina shida! So ikawa hivyo baada ya kumaliza ana delete hakuna kusave jina wala nini mwanaume wake atakagua hiyo simu haoni kitu!

Sasa Twambie ni CODE GANI WEWE unayo ifahamu ambazo zinatumika kwa watu wano cheat mimi na ifahamu hiyo ya PEPSI FANTA COCA wewe je?
Sudo apt_get install sex
 
Swala la Kucheat katika mapenzi suala moja Mtambuka sana! Asilimia 90 ya watu waliopo kwenye mahusiano mmoja wao anacheat! So kugundua kuwa nani anacheat ni kitu kimoja kikubwa sana ambacho kila mtu angependa kukijua!

Kiukweli na kiuhalisia ni rahisi sana kumkamata mwanaume anae cheat lakini sio mwanamke anae cheat! Mwanamke anae cheat kumkamata ni kazi sanaa unless yeye aamue kukonesha kuwa anacheat ili muachane na hii huwa baada ya kuwa amekuchoka au huna vile vitu anavyo vitaka yeye! Mfano maybe huwezi rough sex,or may be huwezi ku act like a man,or may be your not harsh wewe kila kitu ukiambia ni sawa! Na vitu vingine vingi kifupi sio Mbunifu kwenye mahusiano yenu!

Sasa kuna code mbalimbali ambazo mwanamke au mwanaume anazitumia katika kucheat hasa kuwasiliana na yule mtu anae cheat nae! Nitakupeni mfano mmoja wapo!

Mimi sijaoa lakini kuna mke wa mtu alinipenda na nikawa na cheat nae sababu ni kuwa nipo HARSH sana kwenye mapenzi na ni muumini sana wa Rough sex! So kupitia kile alinipenda sanaa hadi kufikia hatua nikawa nina control ndoa yake like leo namwambia sitaki usex na bwana ako basi kweli hata sex nae atamwambia hata tumbo kuwa linauma! Ile kumwambia tuu leo sitaki ufanye hivi japo am wrong lakini nalazimisha my wrong way to be a true way!

Yule mke wa mtu alinipenda sana hadi leo hii....and tukienda kwenye sex nilikuwa so rough...leo kwenye gari,kesho parking kesho kutwa kwenye koshi,mtondogoo hoteli mara chooni so i was so harsh and rough!

Sasa nitafanyaje kuwasiliana nae n huku yeye ana mwanaume na watoto! Yeye akanifundisha na Kunipa CODE ambayo tukawa tunaitumia

Ipo hivi Alisema mimi nikitaka kuchat nae namtumia neno PEPSI yeye akijibu COCA means hapo naweza kuchat nae na kupanga mipango yetu yote baada ya kumaliza ana delete convo imetoka hiyo! So mwanaume wake hata akishika simu hawezi kuona chochote!! Pia nikimtumia neno PEPSI akanijibu FANTA means No chating anymore and we can't chat hapo ujue mwanaume wake yupo so nyeusi inaenda kwa nyeusi! Hivyo hivyo na kwakwe kama yeye anataka kuchat na mimi atanitumia NENO pepsi hapo najua yupo peke ake na ninaweza chat nae!

Nikimtumia neno PEPSI akanijibu PEPSI FANTA! Means jamaa yake yupo lakini tunaweza kuchat haina shida! So ikawa hivyo baada ya kumaliza ana delete hakuna kusave jina wala nini mwanaume wake atakagua hiyo simu haoni kitu!

Sasa Twambie ni CODE GANI WEWE unayo ifahamu ambazo zinatumika kwa watu wano cheat mimi na ifahamu hiyo ya PEPSI FANTA COCA wewe je?

GRIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII ***** KABISA KUMBE HUKU TUNANYIMWA MARA KICHWA MARA TUMBO MARA MP ZA GHAFLA ASEE machalii simuoe ?
 
Dah binadam halindwi, hayo yote ni kuolewa na mtu usiempenda. Wacha nikomae na mbeba box wangu wengine wakafie mbele
 
Professional chita..na unajisifu as if unafanya jema. .
Kumbuka mtenda hutendwa..
 
Mwanaume ambaye hajalogwa na ana akili zake timamu hako unakokafanya ni ka kitoto sanaaaa... Sema kwamba jamaa hana time na wife wake by the way ashafanya mpaka amechoka, sasa we jifariji kwamba ni mjanja ila siku akiamua hiyo fanta yenu itakuwa mirinda.

Kwa mfano akianza kutaka kuona txt zinazoingia anaomba simu huoni kama italeta shida hata kama zinafutwa..??

Yeye akisikia mlio au kuona mwanamke anaangalia simu na ku-type kitu anacheki tuu ni SAA ngapi...sasa ole wake asikute text aliyosikia inaingia mda huo. Hapo ndio fanta itageuka Novida.

NB: za mwizi ni arobaini, usipodakwa jua na mkeo nae atatumia code.
 
Life is not fair but God is fair always. Katika maisha kuna kusalitiwa na mwenzi wako ila ipo siku Bwana anamfunua uchi wake ili ajutie uzinzi anaoufanya, ni huzuni sana wewe mchepuko kumshauri mke wa mtu kumnyima tendo la ndoa mmewe, ninakutaka uache mara moja kama hutaki bhasi Bwana aliyeanzisha ndoa akuumbue na kukuweka uchi.
 
Wwe ni fara chalii!kijana mzima unafagilia kudet na mke wa MTU?u are in danger zone guy
 
Tupo wengi mkuu usiogope, mi yule mmoja nikisema:- mkuu nipite...... kama jamaa yupo ananijibu tu "hakuna njia"..... kama jamaa yupo lakini tunaweza kuchati ananijibu "pita kwa tahadhari njia sio nzuri"

Yule mwngne code zetu ni:- kaka yake? Kama jamaa yupo ananijibu <=====, kama hayupo ananitumia ======>, yani hadi raha
 
Back
Top Bottom