Kwamba ushaamka mapema namna hii??? Njoo kanisani nikuombee...Duh kweli maisha yamekabaa[emoji23]
Yaani huyo jaji wa kati rangi ya uso wake na mikono yake tofauti kabisa afu anahukumu urembo wa wenzie [emoji2] [emoji2]Naona jaji wa kati macho yashaanza kulegea
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani huyo jaji wa kati rangi ya uso wake na mikono yake tofauti kabisa afu anahukumu urembo wa wenzie [emoji2] [emoji2]
Nipo kanisani, ni vile mchungaji kasema tuimbe tenzi sasa mimi yangu iko simuniKwamba ushaamka mapema namna hii??? Njoo kanisani nikuombee...