Recent content by babymama999

  1. B

    Nimemchapa sana mwanangu kwa sababu anapenda michezo anasahau masomo Je ni kosa?

    Darasa la nne asome nini sasa? Kama anaingia darasani inatosha kabisa labda kama ni english medium.
  2. B

    Msaada ndugu zangu dawa ya kunguni

    Kunguni hata ukihama kwa muda ukirudi utakuta wanakusubiri
  3. B

    SoC03 Responded Kitambulisho cha Taifa kiboreshwe ili kuendana na ulimwengu wa kidigitali

    Hivi itawezekana kuweka mpaka vyeti vya taaluma kweli?
  4. B

    Kwanini serikali yetu isijaribu kuifanya Mwanza iwe kivutio cha utalii kwa kutengeneza mfereji wa bahari mpaka Mwanza

    Unanifanya niamini ule msemo wa Tz ni channel ya vichekesho huko mbinguni
  5. B

    Urusi yaanza kutumia helikopta kusaka wanajeshi wake waliotoroka mapambano

    hii vita putin kaingia kichwakichwa ataathirika sana kiuchumi, japo rais wa ukraine naye alitakiwa kuyajenga mwanzo, sijui aliahidiwa nini na Mmarekani, naye atapata athari kubwa sana.
  6. B

    Watu watano wanaacha kutumia dawa za ARV kila mwaka

    Akiacha kutumia maana yake kachoka kuishi
  7. B

    Hivi bei ya maharage ni Tsh 3500 kwa kilo au Mangi kanipiga?

    ukiona amekupiga msimu ujao nenda kalime
Back
Top Bottom