Kupanga mji yetu iwe ya kisasa tumeshindwa itakuwa kuhamisha bahariHabari zenu wakubwa shikamooni
Fundi bishoo hapa nimewaza nimeona hivi kwa nini serikali yetu isingefanya hiki kitu yaani ikatengeneza mfreji wa maji ya bahari kutoka Dar es salaamu mpaka Mwanza halafu waitengenezee kitu kama bwawa flani hivi la bahari ili iwe kivutio maana ni mji mzuri ila tu umekosa bahari naona tukifanya hivo serikaLi itapata mapato sana watu wengi watajaa sana Mwanza.
Au huo mfereji ambao utaenda Mwanza uunganishwe moja kwa moja na lile ziwa voctoria nadhani tutakua na identity yetu kama taifa maana ni jambo ambalo hamna nchi yoyote imewahi kulifanya.
Naamini viongozi wakiliona hili watalifanyia kazi maana hata ile hoja yangu niliyotoa miaka 4 nyuma ya polisi kuwa na vitambi nimeona imeongelewa na wakuu wa kwenye system mwaka huu naamini hata hili mutalifanyia kazi.
#Yesbishooohaswaaa
Sensa uliwaambia kuwa una miliki smartphone na hauna gonjwa lolote la akili😁🤔 watafute urekebishe taarifa zakoHapana yaaNi hii irltatengeneza kitu flaNi cha utofauti imagine bahari na ziwa vinakua n kitu kimoja ...? Tutakua na identity ss kama nchi
Titanunua pampu za mchina kupeleka maji ziwaniKweli JF ni mchanganyiko wa watu wa aina mbalimbali na elimu mbali mbali.
Bahari huwa ndio zinakuwa na kina cha chini katika ardhi (surface of the earth) ndio maana hata tunaoongelea urefu kwenda juu tunatuia reference ya bahari - yaani height juu ya usawa wa bahari. Kuna baadh ya miji iko chini ya usawa wa bahari lakini ni sehemu chache sana - kama maeneo fulani Uholanzi.
Kwa hiyo basi, kupeleka maji ya bahari Mwanza, jambo la kwanza ni kutuambia huo mfereji wako wa kufikirika utapandaje mlima, maana altitude ya Mwanza ni juu ya usawa wa bahari!
Ndio maana kuna mtu amekuuliza umeshaamka?
mwanza,kagera,kilimanjaro ni like kupo milimani na dsm pwani ni like bondeni ndo mana unaona vyanzo vya maji huanzia miliman kuishia bondeni ndo mana jamaa akakuambia maji hayawezi panda mlima au mfano mdogo tu kutoka dsm kwenda mwanza safari ina umbali kutokana na acceleration ya kijiografia ni kama gari inapanda mlima ila kutoka mwanza kurudi dsm kwa gari ni rahisi tu kwa maana ni kama inateremka bondeni.Kwani mwanza iko level ya mlima Kilimanjaro?
Habari zenu wakubwa shikamooni
Fundi bishoo hapa nimewaza nimeona hivi kwa nini serikali yetu isingefanya hiki kitu yaani ikatengeneza mfreji wa maji ya bahari kutoka Dar es salaamu mpaka Mwanza halafu waitengenezee kitu kama bwawa flani hivi la bahari ili iwe kivutio maana ni mji mzuri ila tu umekosa bahari naona tukifanya hivo serikaLi itapata mapato sana watu wengi watajaa sana Mwanza.
Au huo mfereji ambao utaenda Mwanza uunganishwe moja kwa moja na lile ziwa voctoria nadhani tutakua na identity yetu kama taifa maana ni jambo ambalo hamna nchi yoyote imewahi kulifanya.
Naamini viongozi wakiliona hili watalifanyia kazi maana hata ile hoja yangu niliyotoa miaka 4 nyuma ya polisi kuwa na vitambi nimeona imeongelewa na wakuu wa kwenye system mwaka huu naamini hata hili mutalifanyia kazi.
#Yesbishooohaswaaa
Mfereji huwa unachimbwa ili kushusha level. Kama unachimbwa kuelekea bondeni utachimba kidogo ila kama unachimba kuelekea kwenye miinuko utachimba Sana. Sio kweli kwamba huwezi kutoa maji kutoka Baharini kuja kibaha. Suala hapo itakuhitaji uchimbe ili ushushe level na bahari iwe juu.mwanza,kagera,kilimanjaro ni like kupo milimani na dsm pwani ni like bondeni ndo mana unaona vyanzo vya maji huanzia miliman kuishia bondeni ndo mana jamaa akakuambia maji hayawezi panda mlima au mfano mdogo tu kutoka dsm kwenda mwanza safari ina umbali kutokana na acceleration ya kijiografia ni kama gari inapanda mlima ila kutoka mwanza kurudi dsm kwa gari ni rahisi tu kwa maana ni kama inateremka bondeni.
Kwa mawazo hayo mgando ndio maana wanakaa vikao wao na kupitisha maamuzi wenyeweHabari zenu wakubwa shikamooni
Fundi bishoo hapa nimewaza nimeona hivi kwa nini serikali yetu isingefanya hiki kitu yaani ikatengeneza mfreji wa maji ya bahari kutoka Dar es salaamu mpaka Mwanza halafu waitengenezee kitu kama bwawa flani hivi la bahari ili iwe kivutio maana ni mji mzuri ila tu umekosa bahari naona tukifanya hivo serikaLi itapata mapato sana watu wengi watajaa sana Mwanza.
Au huo mfereji ambao utaenda Mwanza uunganishwe moja kwa moja na lile ziwa voctoria nadhani tutakua na identity yetu kama taifa maana ni jambo ambalo hamna nchi yoyote imewahi kulifanya.
Naamini viongozi wakiliona hili watalifanyia kazi maana hata ile hoja yangu niliyotoa miaka 4 nyuma ya polisi kuwa na vitambi nimeona imeongelewa na wakuu wa kwenye system mwaka huu naamini hata hili mutalifanyia kazi.
#Yesbishooohaswaaa
Naongezea TU mfano wa miji mingine chini ya 0 usawa wa bahari NI Lindi shimoni maeneo ya mjiniKweli JF ni mchanganyiko wa watu wa aina mbalimbali na elimu mbali mbali.
Bahari huwa ndio zinakuwa na kina cha chini katika ardhi (surface of the earth) ndio maana hata tunaoongelea urefu kwenda juu tunatuia reference ya bahari - yaani height juu ya usawa wa bahari. Kuna baadh ya miji iko chini ya usawa wa bahari lakini ni sehemu chache sana - kama maeneo fulani Uholanzi.
Kwa hiyo basi, kupeleka maji ya bahari Mwanza, jambo la kwanza ni kutuambia huo mfereji wako wa kufikirika utapandaje mlima, maana altitude ya Mwanza ni juu ya usawa wa bahari!
Ndio maana kuna mtu amekuuliza umeshaamka?
Unanifanya niamini ule msemo wa Tz ni channel ya vichekesho huko mbinguniHabari zenu wakubwa shikamooni
Fundi bishoo hapa nimewaza nimeona hivi kwa nini serikali yetu isingefanya hiki kitu yaani ikatengeneza mfreji wa maji ya bahari kutoka Dar es salaamu mpaka Mwanza halafu waitengenezee kitu kama bwawa flani hivi la bahari ili iwe kivutio maana ni mji mzuri ila tu umekosa bahari naona tukifanya hivo serikaLi itapata mapato sana watu wengi watajaa sana Mwanza.
Au huo mfereji ambao utaenda Mwanza uunganishwe moja kwa moja na lile ziwa voctoria nadhani tutakua na identity yetu kama taifa maana ni jambo ambalo hamna nchi yoyote imewahi kulifanya.
Naamini viongozi wakiliona hili watalifanyia kazi maana hata ile hoja yangu niliyotoa miaka 4 nyuma ya polisi kuwa na vitambi nimeona imeongelewa na wakuu wa kwenye system mwaka huu naamini hata hili mutalifanyia kazi.
#Yesbishooohaswaaa
Nikuambie kitu babymama999 mawazo yangu mengi niliyowahi kushauri serikaLi humu jf yamefanyiwa kazi hata hili pia watalifanyia kazi kama sio awamu hii basi hata awamu ijayoUnanifanya niamini ule msemo wa Tz ni channel ya vichekesho huko mbinguni