Mkuu acha hizo basi ina maana kama una rafiki au ndugu au hata jirani anayefanya vibarua ukiona hilo tangazo huwezi kumwambia akafanye mbona makuzi sana siyo poa aisee kuweka hapa inamaana yake kuna mtu anaweza kuona akampa mchongo jamaa yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.