Recent content by Baby de toto

  1. B

    Viashiria katika ulimwengu wa roho na ulimwengu wa mwili na viwakilishi vyake

    nimejifunza kwenye huu uzi na ndio situation napitia naomba unisaidie maelezo ya namna ya kuomba
  2. B

    TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

    kwahiyo inabidi nichague upande kama ni meditation iwe meditation na kama ni kuomba iwe kuomba tu?
  3. B

    TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

    serious mkuu na pia naamka nimechoka sana.. kitu ambacho kinanifikirisha mambo mengi
  4. B

    TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

    kila nikifanya tahajudi ya pumzi alafu nikaomba kwa imani yangu nikilala naota ndoto mbaya sana za kupigana na wachawi
  5. B

    Je unawajua choosen one na maajabu yao katika dunia

    umeweza je kiongozi ku wasiliana na ulimwengu wa roho naomba hiyo elimu
  6. B

    Natafuta kazi ya ualimu wa daycare

    hapana Mkuu nilibadilisha option niliamua kufanya mambo mengine
  7. B

    Short course gani ilibadili maisha yako?

    Kufa usifiwe njoo usome huu uzi uwenda ukapata kitu tuje tusemezane
  8. B

    Dunia imejaa watu waongo

    Kufa usifiwe kasome uzi huu
  9. B

    Fursa ya ajira ya kazi ya kibarua kwa muda wa miezi 6 hadi mwaka mmoja malipo 12000 kwa siku

    Mkuu acha hizo basi ina maana kama una rafiki au ndugu au hata jirani anayefanya vibarua ukiona hilo tangazo huwezi kumwambia akafanye mbona makuzi sana siyo poa aisee kuweka hapa inamaana yake kuna mtu anaweza kuona akampa mchongo jamaa yake
  10. B

    Redcross wafurahishwa na hutuba ya Samia. Hofu yake hakuificha

    Unaongea kama unachamba LOH kwani huwezi kuandika vizuri funguka hizo code zako tuzijue
Back
Top Bottom