Recent content by Baby de toto

  1. B

    JamiiForums Tanzania Unataka " Kusema jambo na limtokee mtu, hapa JF fanya hivi !

    kwanini usifunfushe kubariki na kusemea watu vizuri baadala yake unatamka mabaya 🙄 😎
  2. B

    JamiiForums Tanzania Mazungumzo na msabato ni 60% percent kuhusu siku ya sabato na 40% ni kuhusu wakatoliki. Mind you haumjamuuliza chochote kuhusu sabato au wakatoliki

    hiyo na kitabu cha Daniel labda unaweza ukakisoma na yeye huwenda hakukueleza wala kutafsiri na kutafakari vizuri
  3. B

    JamiiForums Tanzania Sipo Hapa kula mtu ila muelewe. Monthly payment yangu ni 4500$ Sawa na 12M kulingana na position Yangu na experience

    Mkuu kwanini mtu akitokea akaomba msaada wa kazi au mtaji na pesa unazo unavunga au wewe huna mkono wa kutoa 😐
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kwenu wanawake wenzangu

    Nimewahi kukubali siku hiyohiyo kwasababu nilikuwa namuelewa tu mwanetu but kama mtu sijamuelewa namchana kabisa kuwa siwezi kupoteza muda wa mtu wala sitaki kudanganya
  5. B

    JamiiForums Tanzania Ni sababu gani inayokufanya usipokee simu?

    Mi usumbufu sipendi ni beep au andika ujumbe nikipata muda nitakujibu
  6. B

    JamiiForums Tanzania Ni sababu gani inayokufanya usipokee simu?

    sisikii vizuri sasa unapiga simu ili tuongee nini andika ujumbe kama huwezi pita hivi 🫱
  7. B

    JamiiForums Tanzania Dawa ya kutibu vidonda vya tumbo au hata inayopunguza maumivu

    sasa kwanini usiweke hiyo dawa hapa?
  8. B

    JamiiForums Tanzania Nahiitaji ushauri kuna jambo linanisumbua

    sawa bhn nitamani hata nipate nafasi ya kufanya kwa miezi 2 nipate msingi
  9. B

    JamiiForums Tanzania Nahiitaji ushauri kuna jambo linanisumbua

    Mkuu kama nafasi zipo naomba uniunganishe mimi nifanye mimi hiyo kazi
  10. B

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Ipi ilikuwa sababu

    sawa nashukuru sana
  11. B

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Ipi ilikuwa sababu

    nahisi ni hivyo
  12. B

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Ipi ilikuwa sababu

    ndio kwanza ni wiki 3 tu zimeisha hilo swali sizani kama naweza kujibu kwa usahihi maana nilijimaliza kwake nafunguka kila kitu namuona kama bega la kuegemia
  13. B

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Ipi ilikuwa sababu

    kwa mwaka Dah basi tu 🙌
  14. B

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Ipi ilikuwa sababu

    ndio kitu napitia bado siamini lakini kwa comment yako nimepata nguvu
Back
Top Bottom