Inside10
Platinum Member
- May 20, 2011
- 34,690
- 42,691
Mtoto wa miaka 14 kutoka kijiji cha Arusha ameripotiwa kujinyonga baada ya madai ya kuingiliwa kinyume na maumbile na askari waliomchukua Oktoba 29.
Kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia, kijana huyo alipatikana tarehe 4 akiwa ameumizwa vibaya, mwili ukiwa na makovu na kuvimba. Hali yake iliwatia hofu zaidi pale alipolalamika kushindwa kukaa, na baada ya uchunguzi wakabaini alikuwa amelawitiwa.
Siku chache baadaye, alisikika akisema anaenda shambani kutafuta masago ya ng’ombe. Hata hivyo, hakurudi nyumbani—baadaye alipatikana akiwa amejinyonga.
Kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia, kijana huyo alipatikana tarehe 4 akiwa ameumizwa vibaya, mwili ukiwa na makovu na kuvimba. Hali yake iliwatia hofu zaidi pale alipolalamika kushindwa kukaa, na baada ya uchunguzi wakabaini alikuwa amelawitiwa.
Siku chache baadaye, alisikika akisema anaenda shambani kutafuta masago ya ng’ombe. Hata hivyo, hakurudi nyumbani—baadaye alipatikana akiwa amejinyonga.