Na. Tundu Lissu
IGP SIRRO USITISHE WAKOSOAJI, SAFISHA JESHI LA POLISI
Nimesikiliza kauli ya Inspekta Jenerali wa Polisi Simon Sirro kuhusu kupatikana kwa Mo Dewji. IGP Sirro amesema, pamoja na mengi mengine, kwamba wanaotafuta uadui na Jeshi la Polisi wasije wakalaumu litakapowatokea la...
Hapo ndugu chukua maamuzi magumu. Pengine kuna makubwa zaidi yatakutokea ukiendelea kumng'ang'ania.
Kisicho riziki hakiliki. Utaokota na matatizo ambayo hukuwa kuyafikiria bure
Mi mgeni kabisa jukwaa hili, vipi hakuna series nyingine nzuri inayo-trend mwaka huu
Maana nimefuatilia uzi asilimia kubwa stori ni Mr. Sunshine tu. Wafuatiliaji wazuri wa Korean drama mtujuze na zingine basi.
UJUMBE WA LISSU
Habari za leo popote mlipo wapendwa wangu.
Napenda kuwajulisha kwamba, leo tarehe 11 Aprili 2018, ninaingia kwenye operesheni nyingine tena.
Kama nilivyowataarifu siku za nyuma, mguu wa kulia bado una shida kutokana na risasi nyingi nilizopigwa na ‘watu wasiojulikana'...
Mahakama ya Kisutu imemuhukumu Bob Chacha Wangwe kulipa faini ya Tsh Mil 5 au kwenda jela mwaka mmoja na nusu
Kosa ni kuchapisha taarifa ya uongo kwenye mtandao wa Facebook kinyume na kifungu namba 16 cha Sheria ya Makosa ya Mtandao ya 2015.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.