Simu ya Huawei Y 530, inanigomea kuwaka

Simu ya Huawei Y 530, inanigomea kuwaka

tangu juzi batani ya kupandishia sauti imetumbukia ndani. nikiwasha inaniambia No command, nmehangaika weeh kuiflash wapi ,nmerudi kwa fundi kapandisha hio keyboard imejiflash yenyewe nmeanza upya ,Haijazingua mpaka sasa ila najihesabia sina simu
Njoo nikupe yangu. Mim ninazo tatu. Moja ndio inazngua
 
Huawei ni janga, mimi lilinyamaza hadi leo.
Pamoja na utundu wangu wa simu nilichemka nikalitupilia mbali
 
Back
Top Bottom