Naomba kuuliza mwanangu amemaliza form six st marys mazinde pcb na amepata div one ya point 5 atapewa mkopo kweli?
Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
Tanzania inasikitisha sana tofauti na kenya.hata wale watoto wa waliofaulu vizuri wanashindwa kuwapa zawadi.kuwaita studio ukiwa unaangalia channel za kenya siku matokeo yametoka chanel zote habari ndo hiyo inaonyesha jinsi wako makini na elimu
Huyu sepeta hajitambui anacha kitafuta shuhuli ya kumletea kipato nikumkashifu zari.na wewezari usijibishane na mtu aliyekwama na wala usijifananishe nae hafanani nawewe hata robo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.