Recent content by babu chodo

  1. B

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    Naomba kuuliza mwanangu amemaliza form six st marys mazinde pcb na amepata div one ya point 5 atapewa mkopo kweli? Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
  2. B

    Rais wangu Magufuli, uko kwa ajili ya masikini wapi?

    Nadhani ishu ya madawati si kipaombele sana walimu,vitabu kwanza.umri hausubiri
  3. B

    Mba kichwani (Dandruff): Fahamu Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    Dawa ya mba tafuta shampoo auntdanruf zinasaidia sana
  4. B

    Usiombe uende hospitali ukafanyiwa kipimo hiki cha OGD

    Wala hicho hakiumi,colon scople ndio kiboko yake inauma balaa
  5. B

    Karibu tushauriane juu ya nini cha kufanya na matokeo yako ya kidato cha 6

    Mwanangu amemaliza form six amepata G/Studies F,History D, Geograph 'S', na English 'S'. Aende chuo gani?
  6. B

    Sitokuja tena kutoa sadaka kanisani

    Wewe unatolea mazabahu si unampa mchungaji akinunulia magari ni shauri yake
  7. B

    Natafuta vits

    Nakiasi cha milioni tano natafuta vits no d
  8. B

    Profesa Lipumba aomba kutengua kujiuzulu kwake Uenyekiti CUF

    Anaanza maigizo,sidhani kama lipumba anamvuto tena
  9. B

    Mafundi na wataalamu wa ujenzi nipe mawazo

    Naomba mnijuze kujenga chumba kimoja na choo ina gharam kiasi gani?
  10. B

    Wanaume punguzeni kututesa, tunaumia jamani

    Wanaume wengi wako hivyo akishapata anaona wewe si kifano chake.usiuzunike sana mungu atakufuta machozi
  11. B

    I am sorry mabinti wa kichagga

    Wataolewa na wachaga wenzao.we kaoe kabila yako
  12. B

    Mchina mpelekeni Kilakala muone kwanini tunataka ada elekezi na Prof. amekaa kimya!

    Tanzania inasikitisha sana tofauti na kenya.hata wale watoto wa waliofaulu vizuri wanashindwa kuwapa zawadi.kuwaita studio ukiwa unaangalia channel za kenya siku matokeo yametoka chanel zote habari ndo hiyo inaonyesha jinsi wako makini na elimu
  13. B

    Diamond: Hata kama mtoto si wangu niacheni

    Huyu sepeta hajitambui anacha kitafuta shuhuli ya kumletea kipato nikumkashifu zari.na wewezari usijibishane na mtu aliyekwama na wala usijifananishe nae hafanani nawewe hata robo
  14. B

    Saed Kubenea: Sijagombea PAC, sijagushi jina wala Zitto hajui MwanaHalisi ilivyoanza

    Zitto na lipumba hawana lolote lakusifiwa wasaliti wakubwa.mwacheni kubenea acha aseme ukweli
Back
Top Bottom