Recent content by babagodi

  1. babagodi

    Weekend Story! The Workaholics Silence

    Afadhali na wewe umesema
  2. babagodi

    Simulizi ya kusisimua

    Wewe si uliringa na ukajiona umetuweza?
  3. babagodi

    Simulizi ya kusisimua

    Safi sana mkuu
  4. babagodi

    'Ujinga' wa Ikulu unarudi kwa kasi

    Mkuu siyo hedimasta ni meneja huyo!
  5. babagodi

    Nimechuma mali na mme wangu, lakini sasa anachepuka hakumbuki hata familia yake

    Mchawi huyo miss chaga! Atakupata shauri yako
  6. babagodi

    Audio: Alichosema Askofu Dkt. Josephat Gwajima kwa Kardinali Pengo

    Pengo kafanyaje mkuu?. Nijuze nami kidogo tafadhali
  7. babagodi

    Nahitaji kununua Suzuki Carry, Nipeni mwongozo

    Aisifuye mvua imemnyea! Kila mtu atasifu kampuni kulingana na jinsi ilivyomtendea.Mimi kwa upande wangu trade carview ni wazuri sana.na gari zao ni nzuri kama utapata muuzaji Wa kijapani mwenyewe na siyo wale walanguzi kutoka Zambia na nigeria
  8. babagodi

    Kilele cha Kejeli: Kikwete Umenikwaza... "Barua ya Mkosaji"

    Hahahahaha! Itakuwa ulisoma PCB Mkuu
  9. babagodi

    Taratibu za kufuata ili kuhamisha mwanafunzi shule

    Katika shule anayosoma utajaziwa fomu za uhamisho m/mkuu na mwalimu darasa watazisaini kisha unazipeleka kusainiwa kwa afisa elimu wilaya halafu unazipekeka mkoani(iringa).baada ya kusainiwa utazipeleka kule anakohamia kwa utaratibu uleule wa kule ulikoanzia
  10. babagodi

    Tanzania Commercial Banks Salary Scale

    Sasa sema mfano wewe mshahara unapata ngapi?.suala lililoko mezani ni viwango vya mishahara katika kada mbalimbali katika benki zetu.hatuzunguzii kukua na benki au menejimenti ya benki ina rika lipi la watu.watu mlio benki mngesaidia zaidi huu mjadala.mfano " Mimi ni teller niko nmb basic salary...
Back
Top Bottom