Aisifuye mvua imemnyea! Kila mtu atasifu kampuni kulingana na jinsi ilivyomtendea.Mimi kwa upande wangu trade carview ni wazuri sana.na gari zao ni nzuri kama utapata muuzaji Wa kijapani mwenyewe na siyo wale walanguzi kutoka Zambia na nigeria
Katika shule anayosoma utajaziwa fomu za uhamisho m/mkuu na mwalimu darasa watazisaini kisha unazipeleka kusainiwa kwa afisa elimu wilaya halafu unazipekeka mkoani(iringa).baada ya kusainiwa utazipeleka kule anakohamia kwa utaratibu uleule wa kule ulikoanzia
Sasa sema mfano wewe mshahara unapata ngapi?.suala lililoko mezani ni viwango vya mishahara katika kada mbalimbali katika benki zetu.hatuzunguzii kukua na benki au menejimenti ya benki ina rika lipi la watu.watu mlio benki mngesaidia zaidi huu mjadala.mfano " Mimi ni teller niko nmb basic salary...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.