Tanzania Commercial Banks Salary Scale

Bahati yako umekutana na anayekuambia ukweli, waliodanganyika hubaki kujutia kazi walizoziacha Tanzania na kuishi kwa kubangaiza nchi za Magharibi. Kama una kazi yake bora endelea maana Tanzania kuna fulsa nyingi zaidi ya ajira kuliko ughaibuni ni kutegemea ajira tu huwezi hata kuweka tenga la viazi upenoni au kuuza vocha za simu wala kuuza mahindi ya kuchoma mtaani. Ukikosa mahesabu ya mshahara hakuna pa kudoea.


Mkuu unanikumbusha dada flani jina kapuni aliachaga kazi BOT akazamiaga USA sijui tangu miaka ile hadi Leo angekua na cheo gani pale BOT aisee....

Ahsante mkuu kusema ukweli....
 
wengine tunataka quality of life iliyo juu, huko ulipo haipatikani
Quality of life unaijenga wewe kama Sir oby alivyoanza na ofisi yake ya kiyoyozi without lakini mwisho wa siku anaweza akatoka huko na kufanya mambo yake mengine. Sasa mtu unavalishwa tai, unalipwa laki 5 na ukaa kwenye kiyoyozi kuingia saa 1 asubuhi kutoka saa 2 usiku ukiongeza na mkopo wa gari (unajikutana unalipia mshahara mafuta)
 
Quality of life unaijenga wewe kama Sir oby alivyoanza na ofisi yake ya kiyoyozi without lakini mwisho wa siku anaweza akatoka huko na kufanya mambo yake mengine. Sasa mtu unavalishwa tai, unalipwa laki 5 na ukaa kwenye kiyoyozi kuingia saa 1 asubuhi kutoka saa 2 usiku ukiongeza na mkopo wa gari (unajikutana unalipia mshahara mafuta)

Hahaha:) hapo cashier ukipiga short ya laki moja au mbili. Jiulizw unailipaje?
 
Mkuu yakweli hayo? Mbona nikiendaga kule huwa ananilaumu Sana kwann nateseka kuitumikia govt ya Tz kwa mshahara kidichu? Duuh sasa kwa life lile unataka nambia mshahara unaweza anzia ngapi mpaka ngapi?

Salary Data & Career Research Center (United States)

Bank clerk Salary USA
A Bank Clerk earns an average wage of $12.62 per hour. For the first five to ten years in this position,
pay increases modestly, but any additional experience does not have a big effect on pay. Most people with this job move on to other positions after 20 years in this career.

MEDIAN: $12.00 per hour

Personalied Salary salary Report »Show Annual Salary

National Hourly Rate Data (?)$0$25$50$75
Hourly Rate$9.33 - $16.34
Overtime$9.80 - $72.72

National Annualized Data (?)$0$50K$100K$150K
Bonus$0.00 - $5,068
Total Pay (?)$20,925 - $35,117
Country: United States | Currency: USD | Updated: 11 Dec 2014 | Individuals Reporting: 26
copyright.png

Kazi nyingine za ofisini

Salary Ranges for Popular Degrees


Mishahara Marekani ipo ya aina mbili, Salary na wage.

  • Salary ni kazi zinazofanywa kwa contract na kuna mapatano kwa mwaka utalipwa kiasi gani. Mshahara kwa mwaka hugawanywa kwa malipo ya kila nusu mwezi, yaani tarehe ya kwanza na katikati tarehe ya 15. Kwa maneno mengine hulipwa by weekly.
  • Wage ni mishahara ambayo waajiriwa hulipwa kwa kiwango cha saa wanazokuwa kazini, hivyo kuna kilwango cha kila saa. Malipo hufanywa kwa wiki (weekly) au baada ya wiki mbili (by weekly).
  • Advantage ya wanaolipwa wages wakifanya masaa zaidi ya 40 basi yanayozidi 40 huwa ni overtime na hulipwa kwa kiwango cha 1.5, yaani kama unapata $10 kwa saa katika overtine utatunukiwa $15. Wanaofanya kwa mkataba ambao ni malipo ya salary afanye masaa pungufu au zaidi hakuna cha malipo ya ziada, ni maumivu tu ni kulipwa mlichokubaliana kwenye mkataba basi.
​Idadi kubwa ya waajiriwa Marekani ni wale wanaolipwa wage na ni wachache wanaolipwa salary. Wengi ambao ni wa kima cha chini na kati hulipwa wage na hata serikalini, hii hutokana na ukweli kwamba wanapofanya kazi muda wa ziada mfumo huo huwapa ahueni kupata overtime pay tofauti na salary hakuna overtime pay.

lusungo, mimi si wale wa masimulizi ya vijiweni au Hekaya za Abunuwasi, nakuletea data toka research institute ya Marekani kwa survey kitaifa, hali kadhalika uzoefu wangu maana nilishawahi kufanya kazi sehemu mbalimbali vyombo vya habari, kufundisha high school, kufanya kazi kwenye makampuni nk. Linganisha ukweli huu na misifa mingi ya waliokudanganya.
 
Salary Data & Career Research Center (United States)

Bank clerk Salary USA
A Bank Clerk earns an average wage of $12.62 per hour. For the first five to ten years in this position,
pay increases modestly, but any additional experience does not have a big effect on pay. Most people with this job move on to other positions after 20 years in this career.

MEDIAN: $12.00 per hour

Personalied Salary salary Report »Show Annual Salary

National Hourly Rate Data (?)$0$25$50$75
Hourly Rate$9.33 - $16.34
Overtime$9.80 - $72.72

National Annualized Data (?)$0$50K$100K$150K
Bonus$0.00 - $5,068
Total Pay (?)$20,925 - $35,117
Country: United States | Currency: USD | Updated: 11 Dec 2014 | Individuals Reporting: 26
copyright.png

Kazi nyingine za ofisini

Salary Ranges for Popular Degrees


Mishahara Marekani ipo ya aina mbili, Salary na wage.

  • Salary ni kazi zinazofanywa kwa contract na kuna mapatano kwa mwaka utalipwa kiasi gani. Mshahara kwa mwaka hugawanywa kwa malipo ya kila nusu mwezi, yaani tarehe ya kwanza na katikati tarehe ya 15. Kwa maneno mengine hulipwa by weekly.
  • Wage ni mishahara ambayo waajiriwa hulipwa kwa kiwango cha saa wanazokuwa kazini, hivyo kuna kilwango cha kila saa. Malipo hufanywa kwa wiki (weekly) au baada ya wiki mbili (by weekly).
  • Advantage ya wanaolipwa wages wakifanya masaa zaidi ya 40 basi yanayozidi 40 huwa ni overtime na hulipwa kwa kiwango cha 1.5, yaani kama unapata $10 kwa saa katika overtine utatunukiwa $15. Wanaofanya kwa mkataba ambao ni malipo ya salary afanye masaa pungufu au zaidi hakuna cha malipo ya ziada, ni maumivu tu ni kulipwa mlichokubaliana kwenye mkataba basi.
​Idadi kubwa ya waajiriwa Marekani ni wale wanaolipwa wage na ni wachache wanaolipwa salary. Wengi ambao ni wa kima cha chini na kati hulipwa wage na hata serikalini, hii hutokana na ukweli kwamba wanapofanya kazi muda wa ziada mfumo huo huwapa ahueni kupata overtime pay tofauti na salary hakuna overtime pay.

lusungo, mimi si wale wa masimulizi ya vijiweni au Hekaya za Abunuwasi, nakuletea data toka research institute ya Marekani kwa survey kitaifa, hali kadhalika uzoefu wangu maana nilishawahi kufanya kazi sehemu mbalimbali vyombo vya habari, kufundisha high school, kufanya kazi kwenye makampuni nk. Linganisha ukweli huu na misifa mingi ya waliokudanganya.


Mkuu nashukuru kwa ufafanuzi huu mpana japo nimekaa kwa mda kimasomo pale Denver sikupata wasaa wakuyajua haya kwa undani....

Hili liwe somo kwa wale wanaoplan kuacha kazi hapa ili wakatafute high paying job kule..

Thanks mkuu.
 
Mshahara kazi yake ni kukukeep up wewe mtumishi sio utajirike. Ukitaka utajir find other sources of finance.
Umenena mkuu na huo ndio ukweli ila kwa Tanzania ukimwambia mtu hivyo kama hamna ukaribu nae anaweza kukutukana maana sie mshahara na posho ndio everything ndio maana hata waheshimiwa wetu kutwa kujiongezea mishahara na posho wanasahau comoponent nyingine muhimu ya kusimamia mfumuko wa bei nahuduma zingine za msingi ambazo zinamkamua mfanyakazi
 
  1. Pengine wengi wetu tunaangalia tu masanduku makubwa ya bank yalivyojaza mapesa, hizo si mali ya bank bali ni mali ya wateja.
  2. Bank wakitaka kuwalipa pesa nzuri watumishi wake hapana budi wateja tukamuliwe zaidi bank fees kitu ambacho tunalalamikia kila kukicha.
  3. Mishahara ya kiwango cha kawaida kwa watumishi wa bank si Tanzania tu, ila duniani pote, vinginevyo uwe na ujuzi wa kipekee kama wale maodita.
  4. Taasisi zinazoajiri watumishi wengi bank ni moja ya taasisi ambayo mishahara yake ina unafuu ukilinganisha na mishara wanayolipwa huko serikalini na taasisi nyingine.
  5. Tanzania tumeharibiwa na malipo ya ziada kama kufanya kazi nje ya kituo, mataifa yaliyoendelea utakachotumia huko uwe na receipt hasa chakula, malazi na usafiri. Vinywaji ujinunulie mwenyewe hata maji ya kunywa. Ukirudi onyesha receipt na rudisha pesa zilizosalia la sivyo hatua za kinidhamu zitachukuliwa ikiwa ni pamoja na kukatwa pesa toka mshahara wako kufidia pesa ambazo hukurudisha. Hakuna malipo ya ziada kufanya kazi na kulala nje ya kituo cha kazi. Tanzania tumezoea dezodezo tu.

NB. Hakuna ajira inayoajiri mtu apate utajiri ila ajira inampa mshahara mwajiriwa malipo ya kujikimu kimaisha. Ukipata pesa nyingi hutakuwa na sababu ya kusubiria malipo mengine kwa vile una pesa, pengine itasababisha uvivu wa uwajibikaji kazini.
Namba tano umenena mkuu, huku kwetu just imagine watu wanakutana tu serikalini kuna seating allowance (60,000) na ni ndani ya eneo la kazi na pia wanachokifanya ni sehemu ya shughuli yao, na wanachokijadili kinaweza kikawa comunicated through email
 
Equity hakuna mshahara wa 250,000 acha uongo wewe. Apply kazi tu mkuu mimi nipo Equity nakula maisha. Unataka ulipwe millions of money we ni nan? The bank grows faster believe me kuna chans kubwa ya kugrow nayo. Mameneja vijana sana huku, sio huko wamejaa wazee tu na ofisi wamezikalia wao tu.

Sasa sema mfano wewe mshahara unapata ngapi?.suala lililoko mezani ni viwango vya mishahara katika kada mbalimbali katika benki zetu.hatuzunguzii kukua na benki au menejimenti ya benki ina rika lipi la watu.watu mlio benki mngesaidia zaidi huu mjadala.mfano " Mimi ni teller niko nmb basic salary sh......."basi.
 
Mkuu nashukuru kwa ufafanuzi huu mpana japo nimekaa kwa mda kimasomo pale Denver sikupata wasaa wakuyajua haya kwa undani....

Hili liwe somo kwa wale wanaoplan kuacha kazi hapa ili wakatafute high paying job kule..

Thanks mkuu.

Ukiwa chuoni vigumu kujua kinachoendelea mitaani au makazini. Hali kadhalika wanasiasa wanaotembelea maeneo mbalimbali eti kujifunza hawawezi kupata kile ambacho sisi tumeishi na kufanya kazi katika mazingira ya kawaida na wananchi wa nchi hizo. Tatizo wengine hawasemi ukweli ila kueleza yasiyokweli, labda kutaka kujionyesha kwamba wanakula kuku kwa mrija kumbe ni majigambo ya bure. Ninachofahamu mpango mzuri wa kutengeneza pesa nchi za magharibi si kazi moja pekee ila uwe na ziada kama part time job pamoja na kubana matumizi.
 
Sasa sema mfano wewe mshahara unapata ngapi?.suala lililoko mezani ni viwango vya mishahara katika kada mbalimbali katika benki zetu.hatuzunguzii kukua na benki au menejimenti ya benki ina rika lipi la watu.watu mlio benki mngesaidia zaidi huu mjadala.mfano " Mimi ni teller niko nmb basic salary sh......."basi.

Kiwango cha mishahara kwa wafanyakazi wa bank Tanzania kiko nafueni, sifikirii watarajie kuongeza zaidi ya sasa maana kuna ushindani wa bank nyingi sasa na ushindani wa kibiashara ni huduma si malipo ya watumishi. Pengine kuvutia wateja ni kupunguza bank fees kitu ambacho kitaathiri mishahara ya watumishi wa bank kutopanda.
 
Ukiwa chuoni vigumu kujua kinachoendelea mitaani au makazini. Hali kadhalika wanasiasa wanaotembelea maeneo mbalimbali eti kujifunza hawawezi kupata kile ambacho sisi tumeishi na kufanya kazi katika mazingira ya kawaida na wananchi wa nchi hizo. Tatizo wengine hawasemi ukweli ila kueleza yasiyokweli, labda kutaka kujionyesha kwamba wanakula kuku kwa mrija kumbe ni majigambo ya bure. Ninachofahamu mpango mzuri wa kutengeneza pesa nchi za magharibi si kazi moja pekee ila uwe na ziada kama part time job pamoja na kubana matumizi.


Kweli mkuu halafu hali ya maisha ya sasa imekuwa ngumu kuliko awali...

Kuna kipindi tulikua tukipewa posho ya $ 420 per day tukienda kule nikawa naona Kama ndogo mno kumbe kwa malipo ya Wenzetu bado ina afueni kiasi...
 
Equity hakuna mshahara wa 250,000 acha uongo wewe. Apply kazi tu mkuu mimi nipo Equity nakula maisha. Unataka ulipwe millions of money we ni nan? The bank grows faster believe me kuna chans kubwa ya kugrow nayo. Mameneja vijana sana huku, sio huko wamejaa wazee tu na ofisi wamezikalia wao tu.

hivi ndio hiyo benki imejaa wachaga? ni ya kibaguzi sana haina ukuaji wowote
 
Quality of life unaijenga wewe kama Sir oby alivyoanza na ofisi yake ya kiyoyozi without lakini mwisho wa siku anaweza akatoka huko na kufanya mambo yake mengine. Sasa mtu unavalishwa tai, unalipwa laki 5 na ukaa kwenye kiyoyozi kuingia saa 1 asubuhi kutoka saa 2 usiku ukiongeza na mkopo wa gari (unajikutana unalipia mshahara mafuta)

hakuna kitu kama hicho, kwanza Tanzania nzima quality of life iko below international standards, sembuse huko ambako hata miti hakuna
 
Kweli mkuu halafu hali ya maisha ya sasa imekuwa ngumu kuliko awali...

Kuna kipindi tulikua tukipewa posho ya $ 420 per day tukienda kule nikawa naona Kama ndogo mno kumbe kwa malipo ya Wenzetu bado ina afueni kiasi...


Ukweli kiasi hicho ni pesa nyingi kwa siku, maana kiasi hicho hulipwa kwa wiki moja mfanyakazi ambaye anafanya masaa 40 na kila saa analipwa $10.50. Kwa mwezi kiasi hicho itakuwa $1680 gross income, net zitakuwa labda $1400. Unaweza kupata picha halisi ya maisha nchi za ughaibuni.

Ukianza kufanya mchanganuo wa matumizi na gharama za kuishia plus bills hakuna kinachobaki, inakuwa mtu kuishi from hand to mouth without saving for future.
 
hakuna kitu kama hicho, kwanza Tanzania nzima quality of life iko below international standards, sembuse huko ambako hata miti hakuna
Huko unapopaona wewe kwenye international standard miaka 200 nyuma palikuwa kama huko, hata hiyo Dar au Mwanza au Iringa au popote unapopaona pana afadhali kuna watu walifanya kazi pakawa hivyo ndio maana huwezi endelea kwa kupenda "READY MADE" lazima ulianzishe ndipo unapata fursa ya kuendelea zaidi. Maisha mchakato hata kama utakaa huko unakokuita hakuna miti bado utatoka kwa kuwa tayari kwenye mazingira magumu umeweza kutengeneza maisha na je ukitumia huo uzoefu wa kusogea sehemu yenye fursa zaidi itakuaje si utasonga mbele zaidi.

Nakupa mfano kama upo Dar, wakazi wa maeneo ya mtoni kijichi mpaka mbagala kuu au wakazi wa mbezi louis, kwa msuguri, temboni mpaka huko kwa yusuphu, miaka ya nyuma walikuwa wanaonekana wamekaa kushoto lakini kwa kuwa waliamua na kuendeleza maeneo yao leo hii miaka 10 imepita huduma muhimu wameletewa na kama wangekuwa na mawazo ya huku tunakaa porini si mpaka leo wangekuwa wanasindikiza maisha. Maendeleo yanafuata watu (kwa mtu mwenye rasilimali chache) sio watu wanafuata maendeleo (hii ni applicable kwa mtu mwenye hela)
 
Huko unapopaona wewe kwenye international standard miaka 200 nyuma palikuwa kama huko, hata hiyo Dar au Mwanza au Iringa au popote unapopaona pana afadhali kuna watu walifanya kazi pakawa hivyo ndio maana huwezi endelea kwa kupenda "READY MADE" lazima ulianzishe ndipo unapata fursa ya kuendelea zaidi. Maisha mchakato hata kama utakaa huko unakokuita hakuna miti bado utatoka kwa kuwa tayari kwenye mazingira magumu umeweza kutengeneza maisha na je ukitumia huo uzoefu wa kusogea sehemu yenye fursa zaidi itakuaje si utasonga mbele zaidi.

Nakupa mfano kama upo Dar, wakazi wa maeneo ya mtoni kijichi mpaka mbagala kuu au wakazi wa mbezi louis, kwa msuguri, temboni mpaka huko kwa yusuphu, miaka ya nyuma walikuwa wanaonekana wamekaa kushoto lakini kwa kuwa waliamua na kuendeleza maeneo yao leo hii miaka 10 imepita huduma muhimu wameletewa na kama wangekuwa na mawazo ya huku tunakaa porini si mpaka leo wangekuwa wanasindikiza maisha. Maendeleo yanafuata watu (kwa mtu mwenye rasilimali chache) sio watu wanafuata maendeleo (hii ni applicable kwa mtu mwenye hela)



sina uvumilivu wa kutosha wa kuanzia juani kulia kivulini, mimi ni kivulini mwendo mchibuyu
 
sina uvumilivu wa kutosha wa kuanzia juani kulia kivulini, mimi ni kivulini mwendo mchibuyu

Huu ndio ukweli mkuu..Nani akakae sehemu watu wanalala saa mbili usiku, Social services hovyo, halafu usubiri pakue? Tutabanana na foleni za hapa hapa town.
 
Back
Top Bottom