Kwanza kabla hujaacha shule watafute watu walioacha shule alafu uwaombe ushauri juu ya kuacha shule na uone watakuambia nn.
Pili kabla hujaanza biashara ya kuuza juisi ya miwa pamoja na mgahawa tafuta watu ambao wanafanya biashara ya miwa pamoja na mgahawa na wakafanikiwa kisha uombe ushauri...
Swali lako linauliza NI WANGAPI NA WALA SIO UTAJUAJE KAMA NI CHENI YA KIUNONI AU SIO.
kwa maana hiyo jibu lazima liwe ni namba flani au mjumuisho wa kundi flani kama wote,kwa sababu neno wangapi lenyewe limeshonyesha kuwa jibu linalotakiwa lazima liwe kwenye mfumo wa uwingi kwa idadi lazima...
Naaaammmmm,
Naomba nikufundishe jinsi ya kumkontroo mwanamke.
Maisha ya mwanamke huongozwa na mwezi(mbalamwezi).mwezi huu ambao hutoa mwanga usiku.
Tangu kuzaliwa hadi kufa kwa mwanamke mwezi ndo huongoza maisha yake yote so ukitaka kujua namna ya kumkontroo mwanamke manake lazima uwe na elimu...
Am back.......
Kabla sijachangia kwanza niwatoe watu wasiwasi.mimi ni sexual coach/kocha wa mapenzi tena kwa kusomea so najua nnacho zungumza.
Mwezi wa tano natarajia kufungua shule/kituo cha kufundisha watu juu ya kujamiiana maeneo ya kimara hapo.
So wateja karibuni.
Post ya kwanza niligusa juu...
Leo nimeamua kuandika humu kwa mara ya kwanza siri kubwa sana kuhusu wanawake kwa sababu kunasiku mwenye kurahi hii aliandika story moja ya tina zoa zoa ambayo niliisoma kidogo tu ila ikanifurahisha kwa muda so ili kulipa fadhira leo naandika humu kitu ambacho kitanfumbua kila mwanaume macho na...
Thats not true.orgasm has nothing to do with the sleep of men soon after having sex.one have to know first the difference btn orgasm and ejaculation so as to understand about what cause a man to sleep.
Orgasm has more to do with brain cos it occurs in the brain while ejaculation has to do with...
Nunua kontena za kusafirishia mizigo 2 za futi 40.
Kontena moja unapata hata kwa 1.5 m kwa sasa so jumla itakuwa ni 3M.
Kontena kama kontena tayari ni nyumba inayojitegemea ila huwa na matatizo matatu tu ambayo huyafanya kontena lisiwe zuri kwa matumizi ya nyumba.
Matatizo hayo ni:
1.joto- hali...
Nunua kontela la kusafirishia mizigo lile dogo la inchi 20 ambalo gharama yake kwa sasa haizidi milioni moja.
Tafuta turubai zito alafu ulizingishie kwenye kontena zima,sehemu ambazo zipo wazi.
Chimba shimo sawa na vipimo vya kontena alafu tafuta fundi ai mtaalamu wa mifumo ya maji ili...
Kinachosababisha tabaka flani la watu kuwa na rangi flani na lingine kiwa na rangi tofauti ni SUBSTANCE MOJA AMBAYO INAITWA MELANIN.
Kimsingi matabaka ya watu hupangwa kwa kutumia kiwango cha MELANIN ambacho tabaka hilo husika huwanacho.
Katika bimadamu wote watu weusi ndo huwa na kiwango...
Alishajibiwa ila nadhani hukuelewa.
Jibu lilikuwa hivi" izi nguzo zote unaweza ukaona zipo sawa kwa juu ila ipo moja ambayo kwa chini imechimbiwa zaidi"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.