Hakika ni mungu wako tu ndio hukosea kwa kuleta mitume na manabii, Mungu wangu alishafunga mjadala wa mitume na manabii.
Namjua mtume wa mwisho na wa kwanza. Na tangu amekufa mtume wa mwisho sijasikia wala kuina tena kiumbe kina jinadi kua yeye ni mtume.
Ushauri wangu kwako mtoa mada jaribu...
Nakumbuka maneno yake tukiwa golden fork alinambia anataka kuishi maisha ya kutosumbuana na serikali kwani umri wake sasa ni wakutunza familia hivyo kujihusisha na mambo ya ujanja ujanja si vyema sasa. Lakin naona hesabu zimekataa.
Kama hujui historia ya Dunia, basi hujui siasa ya dunia, huvyo kuja na uzi kama huu ni wazi mtoa mada hujui siasa za Dunia. Korea kaskazin ni sovereign hivyo ina uhuru wa kujilinda kwa kuunda nyuklia, lakin faham kua kila anaemtia hofu marekani juu ya silaha za nyuklia basi marekan itamfanya au...
Sijelewa sentensi "kuamini ameawa ni shirki" Sayyidina Ummar aliawa na mafundishi yapo hivyo, ni shirki kuamini kua ameawa km sababu ya kifo chake? Nadhani nahitajinkujifunza kutoka kwako. Imani ya uislam ni shari na kheri vinatokana na Allah, na mwenye uwezo wa kutoa uhai na umauti ni Allah...
Tatizo kubwa linalowakuata viongozi hawa wa dini ni kutaka wafanane na mitume au watu wema wa zamani ambao kimsingi Mungu alishawatofautisha sababu imani yao haikua na chembe ya shaka na imani hiyo ilitokana na kufunuliwa nguvu na uwezo wa Mungu. Sasa sisi wachafu, tunakula sadaka kwa njia ya...
Tasbihi haina kazi nyingine yoyote isipokua hesabu, yani kumsaidia anaemsabih/kumtaja Mungu/Allah awe na kumbukumbu ya malengo ya idadi ya utajo anaohitaji. Laki lozari inanasibishwa na ulinzi au kumkubali yesu kama muokozi wa alieivaa au kuitumia, ndio maana utaona mtu anashika lozari kukemea...
Kuna watu wapo tu alimradi ni viumbe lakin hamna kitu kichwani, suala la msingi la uhai au uhuru wa mtu na wasiwasi tuliinao watzanzania anatokea punguwani analeta habari ya vyama. Khaaa nini chama hataa ukaweka ubinadam nyuma. Bora Mange kaamua kuokoka hatukani siku hizi kuna mijitu km hili...
Asante sana mkuu, na huwez amini kila anaotoa mguu wake kwao lazma aniambie, na kuhusu simu ndo usiseme, hata akiona kitu insta au fb kinachomchekesha chenye fundisho lazma atashea na mm. Na tulijuana miaka mingi lakin nilikua namuona km ni mtu ambae sio level yangu japo nina kitu kimoja hua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.