Nini tofauti ya Hirizi, Rozali na Tasbihi?

Nini tofauti ya Hirizi, Rozali na Tasbihi?

Zote hizi, hazipo kisheria chini ya sir god, ni ibada za sanamu, soma kutoka 20:1-5
Hiyo ni kwa mujibu wa Halmashauri kuu ya Kichwa chako.ona hivi ni god au God,halafu sir god ndo nani??,hebu tuanzie hapo kwanza maana unaweza kujifanya Much know kumbe Mburura tu.
 
Tasbihi = Hirizi

Huenda ukawa unazijua kwa undani hirizi na tasbihi, mpaka ukafikia conclusion kwamba tasbihi ni sawa na hirizi je unaweza kuzielezea vipi zinatengezwa,material yanayotumika kuzitengeneza na walau kazi ya kila moja ili tuamini ulichoandika ukishindwa kufanya hivyo nitajua umeandika kwa chuki tu na si kingine.
 
Naona zote ni sawa. Mwenye kujua tofauti zake anijulishe. Uchawi wa Kirumi, Uchawi wa Kiarabu na Uchawi wa Kiafrika.

mshana jr mzee wa chanting karibu sana..
Hakuna tofauti ndugu huo wote ni uchawi tu.tofauti tu ni asili ya uchawi husika.
 
Naona zote ni sawa. Mwenye kujua tofauti zake anijulishe. Uchawi wa Kirumi, Uchawi wa Kiarabu na Uchawi wa Kiafrika.

mshana jr
mzee wa chanting karibu sana..
Tasbihi haina kazi nyingine yoyote isipokua hesabu, yani kumsaidia anaemsabih/kumtaja Mungu/Allah awe na kumbukumbu ya malengo ya idadi ya utajo anaohitaji. Laki lozari inanasibishwa na ulinzi au kumkubali yesu kama muokozi wa alieivaa au kuitumia, ndio maana utaona mtu anashika lozari kukemea jambo baya lishindwe, pia hirizi hutumika kama ulinzi kwa dhidi ya uadui ambao mshirikina anaamini kua kua na hirizi km kinga ya uadui atakaofanyiwa, au nguvu za hirizi hiyo kumuwezesha kufanya jambo fulani. Hivyo hirizi na lozari vinatumika km ulinzi, ama lozari ni kama kukubali kua yesu alisulubiwa kwaajili ya dhambi ya wale wanaoamini ktk kristo. Na tasbih ni kwaajili ya hesabu tu.

TUENDELEE KUJADILI NAKARIBISHA MAWAZO TOFAUTI TUJIFUNZE
 
Mkuu Hakuna Amani Kama Haki Hamna Kwenye Nchi. Tuache Kuomba Kwa Mazoea Turudi Kwenye Msingi wa Neno la Mungu. Haki Uzaa Amani. Tena Nawaomba Viongozi wa Dini warudi Kwa Mungu Kwa Toba.

Wameacha Kusema ukweli wanasema Yale yanayo wapendeza viongozi hawasimami Kwenye ukweli. leo unaita matamasha na makongamano ya kuombea taifa Amani? Alafu unawaalika viongozi wa serikali ili kuwafuraisha wao na sio Mungu. Maana hawa hawa waondio wavunjaji wa haki.

Sikatai viongozi wa serikali wasiitwe lahasha, lakini waje na Muwambie ukweli kwamba Amani ni Zao la Haki. Watende haki Amani aiombwi jamani, sulemani anasema kwenye kitabu cha Mithali, Haki uinua Taifa, tuombee Taifa Haki jamani.

Uzaa - Huzaa
kuwafuraisha - kuwafurahisha
aiombwi - haiombwi
uinua - huinua
 
Naona zote ni sawa. Mwenye kujua tofauti zake anijulishe. Uchawi wa Kirumi, Uchawi wa Kiarabu na Uchawi wa Kiafrika.

mshana jr mzee wa chanting karibu sana..
Huo wote ni udanganyifu wa Shetani. He is very smart.Vitu hivyo ni sawa.It is part of the grand illusion. Wajinga ndio waliwao.Ngoja niishie hapo nisije nikanyooshewa kidole.
 
Bora kuwa mjinga kuliko kuwa mpumbavu. Nadhani tungekua tunaulizana maswali I'll tujue jambo tusilolijua ingependeza sana lkn ni aibu kwa wakristo kupingana wenyewe kwa wenyewe.
 
Naona zote ni sawa. Mwenye kujua tofauti zake anijulishe. Uchawi wa Kirumi, Uchawi wa Kiarabu na Uchawi wa Kiafrika.

mshana jr mzee wa chanting karibu sana..

ungeonesha wazi 'compare and contrast' ingesaidia nami kuelewa unachosema. Pia ungeweka na madhumuni yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom