Wanasema et ili kuongeza ufanisi na tija ili elimu bure isonge mbele bila ya kujali wale wengi kma hao wanaokula msoto na mizigo ya maana wakuu wao kazi ni safari tuu kila day yaniii duuu kweli mtoto wa mkulima lazima atoke povu
Duuuu hyo mwanamke atae sx na hyu mchizi ajipange la sivy lazima kiuno kigawanyike tuuu yani by the way nampa pole sana mchiz anakosa uhondo kinma yaniii
Duuuu pole sana mkuu hyo ndo system ilivyo hata ukiagiza gari jipya bei haiwezi kuwa chini sana na kigezo cha uchafuzi wa mazingira mi ndo huwa sikielewi kabisa maana kuna vitu vingi sana vinachafua mazingira sana kuliko hata hilo gar eg viwanda mbona hawavitoz kodi zaid ya bei ya kujengea daah...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.