AL-USTADH
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 406
- 226
- Thread starter
- #221
Mimi niko vizuri namshkuru MUNGU nashindwa tu Kunionyesha ila faham kuwa niko vizuri Maasha-Allah. Alhamdulillah.Wewe umewahi kufanya hilo zoezi? Au kuna mtu alipona
Ndio wapo waliotumia wakafanikiwa kuwa sawasawa kiongozi ijaribu tu wala usiwe na shaka, nakuhakikishia lazma uwe sawasawa mkuu.
Karibu Sana.