Mwalimu vumilia, tumikia taifa vyema

Mwalimu vumilia, tumikia taifa vyema

kweli ualim wito!!! yote uyapitie hayo!!??!!!! pole mwalim!!! ndokazi uliyo ichagua lakini!!!!
 
  • Thanks
Reactions: Ok9
Pamoja na mzigo wote huo bado Teaching Allowance amenyimwa. Anapewa mkuu wa shule, Mwalimu Mkuu na Afisa Elimu Kata. Kwa kweli Ualimu ni Wito.
Wanasema et ili kuongeza ufanisi na tija ili elimu bure isonge mbele bila ya kujali wale wengi kma hao wanaokula msoto na mizigo ya maana wakuu wao kazi ni safari tuu kila day yaniii duuu kweli mtoto wa mkulima lazima atoke povu
 
Hakika ni kazi mwalimu aloichagua.... Na ni lazima aitumikie....
 
Back
Top Bottom