Kuna kitu hata mm natamani kujua.. Wanasema USA ina mfumo imara kiasi kwamba hata taahira anaweza kuwa rais kutokana na mfumo wa uongozi uliopo.
So inakuaje afya ya Biden imekuwa tatizo kwasababu haendeshi nchi Kwa matakwa yake Bali ni mfumo uliowekwa. Kila kitu kipo kwenye utaratibu maalum
Level za Mungu ni kubwa sana bwana mdogo. Deal kwanza na level za walimwengu, hao wanaochora ramani za hizo nyumba, magari nk wanapata wapi hayo mawazo? Au nao lazima wawe wameiga sehemu!?
Nadhani utakubaliana na mimi kuwa ni ubunigu right! Sasa huyo aiyebuni ramani na akiamua kujenga kitu...
Kwanza usiongee nae, yaani usimwambie kuwa umeshtukia uhaini wao. Then jivue kwenye ndoa kihisia yaani fanya Kama unaishi na house girl tu. Mpe huduma zake za msingi, chakula mavazi, makazi, matibabu na tendo la ndoa.
Acha kuendelea kupanga naye chochote kuhusu kesho yenu, akija na Wazo...
Kwakuongeze:
Je tunapaswa kusubiri mda gani baada ya kumzika baba ili kuwasubiri watoto wa nje ya ndoa? Maana Yeye ndie anawajua na alipokuwa akiwatengeneza alikuwa peke yake na haijulikani alizaa na wanawake wangapi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.