Recent content by azwelle

  1. A

    Ni Aibu Vijana Kuishabikia CCM

    Vijana wanao shabikia chadema wanabidi wapimwe akili
  2. A

    Maisha nyoka 2

    Mamba sio mambo
  3. A

    Tangazo kwa UKAWA wote

    Samahani naomba kuuliza,eti ukawa ndo nini?
  4. A

    Anayeuza nokia original used.

    Nokia asha 501.tsh150000
  5. A

    Inatosha sasa, wanachuo tuchukue hatua

    Source of capital zipo nyingi tu.unaweza kuanzisha biashara hata ndogo tu,sema wanachuo wengi wanajifanya matawi na ubisho. Unalalamika mtaji wakati una simu ya laki nane kwa wengine mtaji tosha kabisa.
  6. A

    Inatosha sasa, wanachuo tuchukue hatua

    Sa nyingine tuihurumie serikali sio kila kitu tunalaumu serikali na kuifananisha na nyingine wakati serikali zina uwezo tofauti. Mi nashauri kila mtu atumie akili yake na ubunifu wake kujitafutia kipato na si kuilaumu serikali kwa sababu tumekuwa mzigo mzito kwa serikali.
  7. A

    Familia ya Kikwete yachafuliwa: Yadaiwa kufanya biashara na waarabu

    Kwani kufanya biashara na waarabu ni dhambi?
  8. A

    Tunachokiweza Watanzania ni kupigiana simu tu

    Umeshidwa mwenyewe.me sijashidwa
  9. A

    Hata kama alikutenda, kumfanyia hivi ni dhambi kubwa sana

    Nbona adhabu yenyewe ndogo tu,angeongeza hiyo adhabu
  10. A

    JWTZ miongoni mwa majeshi bora Afrika

    Hao wanaoponda watakua wale wa kile chama tu maana wamejitoa fahamu.hongera jwtz
  11. A

    Maziwa ya azam

    Kuna baadhi ya wa2 hawampendi mtu kwa sababu ya dini yake 2.wakati ni mkombozi wetu wa tz na tunajigamba kwa mataifa mengine sababu yake
  12. A

    Maziwa ya azam

    Wivu utawauwa wa tz.ila mtamkubali tu tatizo anaitwa salim na sio john
  13. A

    Hongera mfalme, lakini umepoteza fursa muhimu sana!

    Tatizo la CDM hamna hata mmoja mwenye busara wote kufoka tu
  14. A

    Mtoto wa kitusi kaniomba msamaha

    Najuta kupoteza mda wangu.hiko kichwa cha habari kilinivutia kumbee #£$¥¥
  15. A

    Msaada wapendwa;tcu wanamaanisha nini kwa kuandika 'you have been succesful selected'

    Kama we uja apply huwezi elewa anauliza nni.sa Wameandika umechaguliwa hlf hawajaandika koz gani wala chuo gani maana kuna selection tano
Back
Top Bottom