Tunachokiweza Watanzania ni kupigiana simu tu

Tunachokiweza Watanzania ni kupigiana simu tu

Ni kweli kabisa kila kitu tumeshindwa hata katiba tumeshindwa
 
BMK kwa cku posho 300,000 mwalimu kwa mwezi 198,000, Teh! teh! teh!
 
Big Result Now

Ni janga hata hilo Big Result Now...sioni faida yoyote zaidi ya tunakoelekea ni pagumu zaidi hata unafuu hakuna jamani...wenzetu nchi zingine zenye elimu bora wanatafuta unafuu wa jamii nzima katika kila nyanja, sisi hapa tunatafuta unafuu kwa individual family na si jamii nzima, na ndo maana mtu anajali familia yake tu na si jamii nzima...ni tatizo jamani!
 
haya matusi kwetu watanzania japo kuna kajiukweli kidogo
 
Simu yangu!
Vocha zangu !
Gharama ni zangu! Muda ni wangu!
Niko nyumbani kwangu!
Naongea na simu saa nzima!
Wewe uwashwe?
Kwa pilipili ipi nilokutia ?
Ya wenyewe waachie wenyewe!
 
wizi tunaweza sana mpaka leo sijui nani na kizazi chake ambao hakuna mwizi
 
Yaan kunacmnt za watu wengine humu jamvini, ukizisoma zitakuonyesha ni jinsi gani ilivyongumu kumuelimisha, na kumkomboa mtanzania kuondokana na umaskini. Inasikitisha sana
 
Kwa kila secta na masuala muhimu tumeshindwa kama mpira tumeshindwa uchumi tumeshindwa kujitawala tumeshwa siasa tumeshindwa elimu tumeshindwa teknolojia tumeshindwa kilimo tumeshindwa hata kufikiri pia tumeshindwa.

Tumebaki taifa la watu wa kupigiana simu tu kutwa nzima, mtu anaongea na simu zaidi ya dakika 35 hata anachokiaongea hakieleweki.

Mbaya zaidi anatumia kuliko ana chokiingiza.

anakula kwenu? nani kakupa wewe jukumu la kumkomboa mtanzania? usiseme "tumeshindwa" sema "nimeshindwa".
 
Kwa kila secta na masuala muhimu tumeshindwa kama mpira tumeshindwa uchumi tumeshindwa kujitawala tumeshwa siasa tumeshindwa elimu tumeshindwa teknolojia tumeshindwa kilimo tumeshindwa hata kufikiri pia tumeshindwa.

Tumebaki taifa la watu wa kupigiana simu tu kutwa nzima, mtu anaongea na simu zaidi ya dakika 35 hata anachokiaongea hakieleweki.

Mbaya zaidi anatumia kuliko ana chokiingiza.

Umesahau kingine mkuu kuishabikia ccm ambayo ni janga la taifa huku ukizangatia wengi wao ni masikini ukiacha wale wachumi a tumbo maarufu kama buku7
 
Si vyote tumeshindwa mfano tuna A ya kulalamika. Mtu anamlalamikia mwenza, mwalimu, polisi, mchungaji, imamu wake, serikali ndo usiseme hata mvua isiponyesha
Hata rais, makamu wa rais na waziri mkuu nao wanalalamika
 
Tunachokiweza ni kuiua mitaala ya elimu na ndo maana tumefuzu kwenye UJINGA
Wasiojua kusoma, kuandika na kuhesabu zaidi ya 5200 wafaulu darasa la saba na kuingia sekondari! Kuna uzi humu JF jamaa kashangaa alipo kumkuta binti mhitimu wa chuo kikuu akiwa hawezi kuandika barua ya kikazi. Hao waliofaulu wakiwa ahawajui kusoma, kuandika na kuhesabu ndio kesho watakuwa madaktari wa kupasua matumbo yenu, viongozi wenu wa siasa kama rais, wahasibu walimu, wanasheria nk Hapo ndipo mtakapolia kilio na kusaga meno. Big Results Now!
 
Back
Top Bottom