JWTZ miongoni mwa majeshi bora Afrika

JWTZ miongoni mwa majeshi bora Afrika

Hawa wanajeshi wetu sitaki kuwabeza sana ila wengi wao ni wapuuzi tu huku mitaani ndo waanzisha fujo kwenye disco, wanapambana na raia kama watoto tu eti kisa wana mafunzo ya jeshi?!!
 
Kuna mchangiaji mmoja anaongelea mambo ya drones. Either ni anatania au hajui lolote kuhusu warfare

Drones zinatumika kufanya surveillance na LOCALIZED tactical strikes sana sana kwenye counter terrorism au counter insurgency(unconventional warfare)

Lakini katika conventional warfare commander hawezi kufanya upuuzi wa kutumia drone kushambulia mfano battalion kwasababu anajua hiyo drone itatunguliwa na SAM batterries. Utatumia drone kuwaangamiza vikosi vya waasi na wanamgambo lakini sio standard army

Na kwa East Africa Tanzania ndo inaongoza kuwa na Air Defences kali kuliko nchi yeyote ile. Iwe drone iwe stealth fighter jet itatunguliwa tu
 
Ok, labda jetfighter tu lakini za mizigo kutoka majeshi ya ghuba zitatua KIA na kuondoka na nyara zetu kiulani kabisa mfano, twiga, faru,pundamilia,tembo,, na meno ya tembo na pembe za faru.
 
Hao wanaoponda watakua wale wa kile chama tu maana wamejitoa fahamu.hongera jwtz
 
Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki makomando wake
 
Umeeleza vizuri ila mwishoni umeshangaza kulinganisha nchi kama yetu na Marekani hasa ulipotaja innovation na Drones. Tena sio ktk mambo ya kijeshi tu bali hata kazi yako unayofanya au biashara au chochote ulichonacho wewe huna jeuri yakujilinganisha na Taifa kama lile.

Shida mmeshazoea kujilinganisha na Kenya, weak people look for weak competitor, do you know the nationality of the person who discovered drone tehnology? or how many countries own drones? and in which field are they used? for your information drone technology has been used for a while for taking pictures and management of wildlife, even kids have used drones technology to fly toy planes. Next time gather yourself before you come out.
 
Inasikitisha Hii taarifa nimeiona weka sawa Kati ya Majeshi 20 Bora Tanzania HAIMO, Tumezidiwa hata na Zimbabwe, Sudan, Kenya, Uganda D.R.C,Angola wa kwanza Egypty .

Ubora wa majeshi haupimwi kwa idadi ya askari na zana za kisasa tu unapimwa kwa uwezo wa kupigana vita maeneo mbali mbali na kushinda haya tupe data hao unaosema wametuzidi wamepigana wapi na kushinda wapi ukilinganisha na JWTZ? Tena uombe samahani Jeshi la DRC lingekuwa bora lingeomba msaada wa JWTZ? La misri lililoshindwa hata kuweza ndani ya nchi yenyewe! Sudan ambalo waasi wa sudani kusini walililitwanga hadi kujitenga? Kenya ambalo vita yao kubwa ya nje ya kwanza ni na Alshabab na bado hatujajua matokeo ya uwezo wake? n.k

Ukisoma chochote changanya na akili zako ila nahisi wewe waweza kuwa mmoja wa wale walioathirika na kipigo kile cha JWTZ kwa M23 HUJAPONA MAKOVU.
 
Mkuu. Bayebe mambo mengine na wewe utumiage akili za kuzaliwa hata kama hujaenda shule,au hata bila kusoma hzo ripoti za wazungu..

Hivi na wewe kwa akilibzako kweli D.R.C,Sudan na Uganda wametuzidi.!!
Hata Zimbabwe wenyewe wametuzid Jeshi la Anga tu..

Somji una mahaba na wazungu yasiyomithilika, nani kakwambia ni ripoti za wazungu, Nimetumia ripoti hiyo hiyo aliyoitoa mleta thread, kwa kupunguza idadi ya namba, usitumie makalio kufikiri
 
Mbona hamsemi na mlipuko wa mabomu mbagala na gongo la mboto. Je walishindwa kuifadhi mabomu au ilipigwa dili alafu wakalipua machache yaliobaki? . Majibu yote bado yanaonyesha Jeshi limeshuka nidhamu na weledi tokea kipindi cha Nyerere na sasa limeanza kuingiliwa na wapiga dili na kupachikwa jeshini kwa watoto wa wakubwa. Tunaelekea kuwa kama Jeshi la kenya KDF taratibu taratibu
 
Kiuhalisia jwtz wako vizuri sana japo kuna changamoto za hapa na pale
 
Back
Top Bottom