Mavipunda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 7,182
- 8,005
ni muda gani watakuwa na fikra hizo? wao wanataka siasa za kusifiwa na kuonekana itv. toka mwanzo sikukubaliana na uamuzi wa kutoka mle ndani,nadhani kuna udikteta kwa wenyeviti na makatibu wakuu waliolazimisha jambo hili la kutoka,kama kuzomea na matusi wote walifanya,kama kauli ya lukuvi hata wao wana kauli mbovu nyingi tu zaidi ya wanawaita intarhamwe,ni upuuzi tu huu
Afadhali wewe nawe umeliona hilo vyama vingi vya upinzani vinafanya siasa za showing off yaani kujiuza kwa media wenzao ccm wanapanga mikakati ya kuona mbele miaka mitano na kujipanga..mi nilishtuka na nikajua ccm lengo lao limefanikiwa ukawa walipokubali mgombea binafsi uchaguzi ujao..pumbafu zao ngoja waone