Recent content by AyM

  1. A

    NAKURU, KENYA: Watu 27 wafariki dunia baada ya bwawa la Patel kuvunja mingi zake

    Leo ndo viongozi wa "ENEO HILO" wanataka kujua kama ana kibali cha Bwawa hilo????!!!! WAMEKUJA TOKA NCHI GANI LEO HAO????!!! Hivi kuna uongozi hapo? Wao ndo wanapswa kuangaliwa kama wao ni viongozi au la!!!
  2. A

    Askofu Bagonza: Hoja hufungwa kwa hoja, si kwa kifungo wala mahabusu

    Mtoto mdogo kama wewe huwezi kujua. Tulia ukikua utajua tu.
  3. A

    Ni zipi taratibu za kununua gari kwa mtu kisheria?

    Nikitaka kununua gari, je ili niwe salama kwa habari ya umiliki wa gari nililonunua kwa mtu ni mambo gani ya lazima kuyafanya kwanza kabla ya kuitumia barabarani yanayohalalisha umiliki wangu?
  4. A

    Sheria inanitaka nizingatie mambo gani ninapotaka kununua gari kutoka kwa mtu aliyelitumia tayari?

    Nikitaka kununua gari, je ili niwe salama kwa habari ya umiliki wa gari nililonunua kwa mtu ni mambo gani ya lazima kuyafanya kwanza kabla ya kuitumia barabarani yanayohalalisha umiliki wangu?
  5. A

    Askofu Kakobe Asipuuzwe: Ni kama David Koresh na Camp Davidians!

    Ni kweli kabisa. Na WEWE NDO WATU WANAPASWA KUKUPUUZA! Hapo umesema vema! Kwa jinsi ulivyovaa kwa nje ngozi ya kondoo lakini ndani ya moyo wako ni mbwa mwitu. Mimi tayari nimekupuuza sana.
  6. A

    Barua ya Wazi Kwa Askofu Kakobe. Wafalme Hawakosolewi

    Hadithi yako anaweza kuisoma mtoto wa chekechea tu na akaikubali si kwa namna unavyojaribu ikusaidie kutetea usichokielewa, bali kwa jinsi inavyofurahisha kama zile hadithi za paka na panya. HUWEZI KUJADILI JAMBO LOLOTE KATIKA BIBLIA KWA KUCHOMOKA NA MSTARI MMOJA WEWE! Biblia iko very ballanced...
  7. A

    Barua ya Wazi Kwa Askofu Kakobe. Wafalme Hawakosolewi

    Hadithi yako anaweza kuisoma mtoto wa chekechea tu na akaikubali si kwa namna unavyojaribu ikusaidie kutetea usichokielewa, bali kwa jinsi inavyofurahisha kama zile hadithi za paka na panya. HUWEZI KUJADILI JAMBO LOLOTE KATIKA BIBLIA KWA KUCHOMOKA NA MSTARI MMOJA WEWE! Biblia iko very ballanced...
  8. A

    Kauli ya Kakobe "Magufuli atubu", yaibua mambo! Je asili halisi ya Rais Magufuli ni Msukuma, Mhaya au Muha wa Kakonko?

    Paschal nukuu zako zinaonyesha unafiki wako mkubwa. Kwa nje umevaa ngozi ya kondoo lakini ndani ya moyo ni zaidi ya mbwa mwitu. Anayekusoma juu juu tu ndo anaweza kudhani una nia njema. Iko shida kubwa ndani yako pamoja na kutumia nukuu za kidini. OVYO KABISA!
  9. A

    Wizara ya Nishati na Madini iboreshwe ili iweze kufanya kazi kwa ufanisi

    Hajalaani. Tena nimjuavyo analipenda sana taifa hili. ILA kama kuna laana unazozisema, basi LAANA NYINGINE NI ZA KUJITENGENEZEA WENYEWE. Wala asihusishwe mtu mwingine.
  10. A

    Wizara ya Nishati na Madini iboreshwe ili iweze kufanya kazi kwa ufanisi

    Waingereza wanasema..NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK. Nenda kafanye utafiti utakuja hapa na jibu lakweli. UMEME HAUPITI PALE MPAKA LEO KWA MIAKA YOTE HII.!
  11. A

    Wizara ya Nishati na Madini iboreshwe ili iweze kufanya kazi kwa ufanisi

    Mkuu mimi niliamua kufuatilia. Pale umeme haupiti miaka yote hii. Nyaya zipo lakini hazina umeme. Ni mapambo tu. FUATILIA UONE.
  12. A

    IKULU: Rais Magufuli apokea ripoti ya uchunguzi wa mchanga wa madini. Amtaka Waziri Muhongo ajiuzulu

    Kuna askofu mkuu mmoja nafikiri KAKOBE tangu wakati sakata la umeme wa TANESCO kubomoa mabango ya kanisa lake na waziri wa nishati wakati ule na wengineo kuja na mitutu pale na kuongea kwa jeuri flani, askofu huyu nafikiri alimpelekea waraka wa mambo kadhaa pia mengine Rais...
  13. A

    TRA mapato

    Nataka kucheki kwa simu kama natakiwa kulipia kiasi gani mapato TRA, gari. Msaada tafadhali namba zao wamebadlisha au ni zile zile 15341 ? Nimejaribu kutuma hapo lakini msg haiendi. Nimebadilisha simu lakini bado haiendi.
  14. A

    Sheikh asema Askofu Kakobe kauza kanisa!! Ni kweli au uongo?

    Sasa mtu wa kuwaita majini na wachawi waje ANAWEZAJE KUKAA KWENYE CHUNGU KIMOJA na KAKOBE anayewafukuza wachawi na majini yasiwatese watu wa Mungu???? Unawezaje kupokea taarifa za kanisani kwa mtu kama huyu Mwita majini na wachawi??? Ni sawa na kukaa chini giza likusimulie habari za nuru...
Back
Top Bottom