Askofu Kakobe Asipuuzwe: Ni kama David Koresh na Camp Davidians!

Nafanya kumbukizi, ni kweli walokole walipokuwa 10 milioni by then, walisahaulika, jee sasa watakuwa wangapi, na jee wamekumbukwa?, ni kweli walisahaulika sana, afadhali Askofu Kakobe ametukumbusha kuwa walokole nao, japo hawavumi lakini wapo. Sasa mtakumbukwa, nasikia Askofu Kakobe anatafutwa!, nasubiri kwa hamu nisikie wakimkamata, watamuhoji kuhusu nini, maana wakimuudhi, akitoka na kuwaambia waumini wake kuwa "ccm ni adui wa Mungu hawataipigia kura hata mara moja", ila 2020...

Paskali
hahaha, hata hivyo sidhani kama kuna walokole wanaosapoti ccm mkuu. ilikuwa kipindi cha Kulola tu aliyesema jk ni chaguo la Mungu, lakini kwa hawa waliobaki, wengi wako very against, and they mean it.
 
PASCO, yaani yaani kwa jinsi ulivyo short-minded, hadi nakuonea huruma. sitaki kuamini kama wewe ni mwandishi wa habari (umesema ulishawahi kumhoji), unaonyesha uko biased kupita kiasi upande mmoja, na you have very little information about kakobe and his church na wapentecoste wote na imani yao. hivi mtu kama wewe ukileta habari kwenye gazeti au kwenye media yeyote kusambazia raia, si hatari jamani, yaani wewe ni mtupu kichwani na sijui ulisoma hadi kiwango gani na ulisomea nini?

Mkuu Hute, pole!, unaonekana umeumia!.
Upande wa elimu nilibahatika kusoma mpaka mwisho wa ile elimu ya lazima kwa Tanzania bara!, ni darasa la saba!, hivyo na mimi niliishia Darasa la saba tena enzi hizo tukifundishwa na walimu wa UPE!.

Sifa kubwa ya elimu ya darasa la saba ni kujua kusoma na kuandika!. Hivyo najua kusoma na kuandika ndio maana umeweza kunisoma!. Kufuatia kupenda kwangu kuandika ndika nikawa mwandishi wa habari, kwa sababu sifa pekee ya kuwa mwandishi wa habari kwa Tanzania, ni kujua kusoma na kuandika!.
Pasco
Hapa nimekumbuka swali kuhusu elimu yangu na jibu lake.

P.
 
Hapa nimekumbuka swali kuhusu elimu yangu na jibu lake.

P.
hahaha, Pasco, usiongelee kuhusu elimu. I am your classmate udsm 2007, nakujua vizuri tu. well, nafurahi ulimhoji na kulola, pamoja na kwamba naona kinachokuvutia kwenye post hizi zote sio hoja juu ya lolote, bali you are trying to fight me, usipate shida, hapa tupo tu jf, tutakutana siku moja tupate hata kinywaji pamoja. tatizo tu ni kwamba, every thread unayoleta au kuchangia, you have always been against my interests, be it kwenye siasa, kwenye dini etc, na ndio mkwaruzo uliopo kati yangu na wewe.

well, hauwezi kuwajua walokole kama ni wengi hadi uende ukasali nao, hauwezi kujua kuwa walokole ni wepesi kudanganywa hadi ukasali nao...ndio maana tunashauri kuwa hekima itumike unapowagusa viongozi wao. unaponiuliza kuwa sasaivi walokole watakuwa wameongezeka vipi nakushangaa, kwasababu tz nzima watu wenye makanisa makubwa ni walokole kila mji.....na wakatolic na watu wengine wengi wanahamia kwa wingi sana. kwa bahati mbaya, wapo hadi walokole feki nao wana makanisa makubwa sana...lakini wanajihesabu kama walokole kwasababu wanaigiza vilevile. hata hivyo, kakobe is one of their leaders hata kama sio wote wanasali full gospel, lakini mioyoni mwao wanamtambua.

pole, ulitaka kudondoka ulipokutana na kakobe, unasema ana nguvu.....wewe mtu unasema una wanawake karibia watano, watoto more than 10, haujaokoka, manake umejaa tu mizimu ya kisukuma na mapepo ya uzinzi ndio maana haujui Mungu.

maswali yako juu ya utajiri wa kakobe uliouliza, kwa kifupi yeye ndio mchungaji mkubwa pekee anayeishi maisha ya kimasikini (pale mwananyamala), kuhusu heleni na pete, nakuhakikishia hakwenda kuziuza, aliziteketeza, mimi siamini kuhusu heleni na pete kama dhambi au sio dhambi (as i hardly go to church these days), lakini kwenye ulokole kuna imani nyingi sana; na vyote hivyo as long as havimuudhi Mungu, na as long as anayefanya anaridhika na hamuumizi mtu, leave them in peace, waacha wafanya wanachoamini. kuna wengine wanaamini helen na pete zinakaribisha majini, kuna wengine wanamini kuseti nywele ni dhambi etc....anayejua ni Mungu, hayo ni madhehebu tu na ni mengi sana ndani ya mwamvuli wa wapentecost. so, usiwahukumu sana kwasababu hauwajui vizuri, haujawahi kuwa mlokoke hivyo hautawajua.
 
Wanabodi,
Saa hizi ni Saa 8:39 za usiku!, yaani usiku wa manane, nimepita nje ya kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, la Askofu Zakaria Kakobe, nikashuhudia mamia ya waumini wake wamekaa kwenye viti na meza nje ya kanisa hilo huku limepambwa na disco lights zinazobadilika badilika rangi, kwa mgeni aweza dhania ni night club fulani.

Nimeshauri asipuuzwe kwa sababu mimi ni mmoja ambaye ninatoa ushuhuda jamaa ana nguvu, yaani he has powers! Niliwahi fanya nae mahojiano miaka ya nyuma, nikamuuliza hiyo daraja ya Uaskofu alipewa na nani?. Alijibu na Mungu mwenyewe!. Nikauliza kuhusu tuhuma mbalimbali zinatupwa kwake na watu wa mataifa, zikiwepo yeye kuwa tajiri wakati waumini wake wako kwenye umasikini uliotopea, kuhusu Mkewe kuwa ndio Mweka hazina, kuhusu kama hayupo inawekwa kanda kuhubiri.

Na swali la mwisho nilimuuliza kuhusu ukweli kuwa waumini wake wanavuliwa dhahabu na anaziteketeza kwa moto, nikamuomba angalau anionyeshe lilipo hilo tanuru nishuhudie smelted gold deposits kwa macho yangu mwenyewe.

Askofu alinyamaza, akaniangalia machoni kwa kunikazia macho kama anahasira fulani, nami nikajisikia baridi ya ghafla nikataka kuanza kutetemeka na kusikia kizunguzungu ile staili ambayo hatimaye watu huanguka chini. Nikajishika imara kwenye kiti, nikwamwambia Askofu, nimeyaondoa maswali yangu yote, hana haja ya kuyajibu tena!. End of interview.

Huu ni uthibitisho tosha kuwa Askofu Zakaria Kakobe ananguvu fulani, hivyo sio wa kupuuzwa.

Kitendo cha kuwaona waumini wake kwa mamia, wanalala macho usiku kucha kwa kumsikiliza Askofu wao akiwaamuru kuhakikisha wanaipinga serikali in the name of God, ninaamini hao walala nje, wanalala macho hapo nje kwa imani 100 kwa 100 kuwa huko nako ni kumtumikia Mungu Baba na sio kumtumikia binadamu mwenye jina la Askofu.

Kwa lugha nyingine, Nguvu za Askofu Kakobe zimewahypnotize waumini wake kwa kiwango cha juu, kiasi kwamba, chochote atakachowaambia wafanye, watafanya, ndivyo ilivyokuwa kwa David Koresh na wafuasi wake wa Camp Davidians na Askofu Kibwetere na wafuasi wake ambao mwisho wao wote waliishia kuteketezwa kwa moto na kujilipua kwa mabomu kwa ahadi ya safari ya mbinguni kwenye uzima wa milele, imewadia!.

Kama kuna yoyote ambaye ni muumini ama aliwahi kuwa muumini akatusaidia sisi akina Tomaso, kwa kutupa ushuhuda wa msingi wa nguvu za Baba Askofu Zakaria Kakobe kama ni za Mwanga au za giza ili nasi tumuaminiye na tumfuate, vinginevyo huyu ni mtu mwenye nguvu za ajabu na siyo wa kupuuzwa hata kidogo!.

David Koresh wa Camp Davidian alipuuzwa hivi hivi, Joseph Kibweteere nae alipuuzwa hivi hivi, kilichofuata sote tunakijua.

NB. Mode, hii siyo ya dini na imani, ni ya politics of religion.

Paskali
Ongezea na Jim Jones wa Jonestown massacre
 
Wanabodi,
Saa hizi ni Saa 8:39 za usiku!, yaani usiku wa manane, nimepita nje ya kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, la Askofu Zakaria Kakobe, nikashuhudia mamia ya waumini wake wamekaa kwenye viti na meza nje ya kanisa hilo huku limepambwa na disco lights zinazobadilika badilika rangi, kwa mgeni aweza dhania ni night club fulani.

Nimeshauri asipuuzwe kwa sababu mimi ni mmoja ambaye ninatoa ushuhuda jamaa ana nguvu, yaani he has powers! Niliwahi fanya nae mahojiano miaka ya nyuma, nikamuuliza hiyo daraja ya Uaskofu alipewa na nani?. Alijibu na Mungu mwenyewe!. Nikauliza kuhusu tuhuma mbalimbali zinatupwa kwake na watu wa mataifa, zikiwepo yeye kuwa tajiri wakati waumini wake wako kwenye umasikini uliotopea, kuhusu Mkewe kuwa ndio Mweka hazina, kuhusu kama hayupo inawekwa kanda kuhubiri.

Na swali la mwisho nilimuuliza kuhusu ukweli kuwa waumini wake wanavuliwa dhahabu na anaziteketeza kwa moto, nikamuomba angalau anionyeshe lilipo hilo tanuru nishuhudie smelted gold deposits kwa macho yangu mwenyewe.

Askofu alinyamaza, akaniangalia machoni kwa kunikazia macho kama anahasira fulani, nami nikajisikia baridi ya ghafla nikataka kuanza kutetemeka na kusikia kizunguzungu ile staili ambayo hatimaye watu huanguka chini. Nikajishika imara kwenye kiti, nikwamwambia Askofu, nimeyaondoa maswali yangu yote, hana haja ya kuyajibu tena!. End of interview.

Huu ni uthibitisho tosha kuwa Askofu Zakaria Kakobe ananguvu fulani, hivyo sio wa kupuuzwa.

Kitendo cha kuwaona waumini wake kwa mamia, wanalala macho usiku kucha kwa kumsikiliza Askofu wao akiwaamuru kuhakikisha wanaipinga serikali in the name of God, ninaamini hao walala nje, wanalala macho hapo nje kwa imani 100 kwa 100 kuwa huko nako ni kumtumikia Mungu Baba na sio kumtumikia binadamu mwenye jina la Askofu.

Kwa lugha nyingine, Nguvu za Askofu Kakobe zimewahypnotize waumini wake kwa kiwango cha juu, kiasi kwamba, chochote atakachowaambia wafanye, watafanya, ndivyo ilivyokuwa kwa David Koresh na wafuasi wake wa Camp Davidians na Askofu Kibwetere na wafuasi wake ambao mwisho wao wote waliishia kuteketezwa kwa moto na kujilipua kwa mabomu kwa ahadi ya safari ya mbinguni kwenye uzima wa milele, imewadia!.

Kama kuna yoyote ambaye ni muumini ama aliwahi kuwa muumini akatusaidia sisi akina Tomaso, kwa kutupa ushuhuda wa msingi wa nguvu za Baba Askofu Zakaria Kakobe kama ni za Mwanga au za giza ili nasi tumuaminiye na tumfuate, vinginevyo huyu ni mtu mwenye nguvu za ajabu na siyo wa kupuuzwa hata kidogo!.

David Koresh wa Camp Davidian alipuuzwa hivi hivi, Joseph Kibweteere nae alipuuzwa hivi hivi, kilichofuata sote tunakijua.

NB. Mode, hii siyo ya dini na imani, ni ya politics of religion.

Paskali
Don't judge about his power maana ni Mungu pekee ndio anayejua.

Chamuhimu kujadili ni either aliyoyazungumza yana ukweli au hayana ukweli.

Either yana maslahi kwa taifa au hayana.

Kama ni ya kweli na yana maslahi kwa taifa nini kifanyike na kama hayana ukweli wala maslahi kwa taifa nini kifanyike.

Hicho ndio kitu cha msingi na si kumjadili mtu badala ya hoja.
 
hahaha, Pasco, usiongelee kuhusu elimu. I am your classmate udsm 2007, nakujua vizuri tu.

pole, ulitaka kudondoka ulipokutana na kakobe, unasema ana nguvu.....wewe mtu unasema una wanawake karibia watano, watoto more than 10, haujaokoka, manake umejaa tu mizimu ya kisukuma na mapepo ya uzinzi ndio maana haujui Mungu.

.
Asante kwa mengine yote, mimi ni Mkiristu Mkatoliki, ila ni muumini wa mambo mazuri ya asili yetu na nayafuata, kama kuwa na wake wengi na kupata Watoto wengi. Wazungu walipokuja kutuletea dini zao za kizungu za mke mooja mume mmoja, walitukuta tuna dini zetu za asili, mila na desturi zetu ambazo waliita ni za kishenzi, wakatuhadaa tuziache tufuate dii zao!. Ni kweli dini za asili zilikuwa na baadhi ya mambo ya kishenzi kama kutoa kafara, lakini mila na desturi nyingi zilikuwa nzuri.

Kimila lengo la ndoa sio ile starehe bali kutengeneza Watoto, hivyo mila zetu ziliruhusu wake wengi, na baada ya siku za mke kukoma, ni mke huyo anamtafutia baba mke mdogo ili aendelee kumtegenezea Watoto. Sio mizimu wala mapepo bali ni human nature ya Wasukuma wengi hili hatujaliacha, ndio maana mimi nampongeza sana Magufui kwa kuwa mkweli kwenye hili
Pongezi Rais Wetu Magufuli Kwa Kuwa Mkweli Daima, Tuanzishwa The Church of Africa, Tuoe Wake Wengi!.

Paskali
 
Asante sana Notradammus, wewe ni mmoja kati ya wachache sana wenye jicho lenye uono wa nilichokiona mimi mpaka kusitisha interview.
Ili kuona hicho unachoona kwenye macho ya Askofu Kakobe, ujue na wewe u miongoni mwa watu wenye extra ordinary powers ila bado hujajua kuwa unazo, hivyo huzitumii, kitendo pekee cha kuona nilichokiona kwenye macho hayo, ni uthibitisho.

Posession ya powers sio kitu kibaya, its always good to have powers, unalolitaka linakuwa, only the use of those powers ndio what maters, some are putting them to a good use, like faith healing, some are using them as a means to gain weathy, some for political powers, some for communications, etc, yet some are abusing them, ndio hao kina David Koresh.

Concern yangu ni kuwa Askofu Kakobe has the powers, is he putting them to a good use or abusing then in the name of God?
Is he (Kakobe) putting them (powers) to a good use or abusing them (powers) in the name of God? .....

Hiyo mistari imenifikirisha kiasi fulani .....
 
Anaweza akapuuzwa tu naakapimwa mkojo nakutupwa lock up, nakusitokee chochote chatofauti
wote waliopimwa mkojo kama wana influence, wameacha jeraha kubwa sana kwa ssm, amini usiamini. iwe gwajima, iwe lisu, iwe manji etc, kuna watu sasaivi hawataki kusikia kitu kinaitwa serikali kwasababu ya haohao. huko ndio kujenga hicho chama chenu? ubabe hausaidii, wewe ni nani? mungu?, unaweza kumzaba mtu kofi leo akakuweka moyoni hata miaka kumi, ila kuna siku ukijisahau atakurudishia hautaamini. kuweni na hekima walau kidogo basi.....msichukulie watz kama ni watu walioko chini ya familia zenu....hamujammiliki mtu yeyote hapa.
 
wote waliopimwa mkojo kama wana influence, wameacha jeraha kubwa sana kwa ssm, amini usiamini. iwe gwajima, iwe lisu, iwe manji etc, kuna watu sasaivi hawataki kusikia kitu kinaitwa serikali kwasababu ya haohao. huko ndio kujenga hicho chama chenu? ubabe hausaidii, wewe ni nani? mungu?, unaweza kumzaba mtu kofi leo akakuweka moyoni hata miaka kumi, ila kuna siku ukijisahau atakurudishia hautaamini. kuweni na hekima walau kidogo basi.....msichukulie watz kama ni watu walioko chini ya familia zenu....hamujammiliki mtu yeyote hapa.
Zama zimebadilika, get used to it!
 
Askofu alinyamaza, akaniangalia machoni kwa kunikazia macho kama anahasira fulani, nami nikajisikia baridi ya ghafla nikataka kuanza kutetemeka na kusikia kizunguzungu ile staili ambayo hatimaye watu huanguka chini. Nikajishika imara kwenye kiti, nikwamwambia Askofu, nimeyaondoa maswali yangu yote, hana haja ya kuyajibu tena!. End of interview.



Paskali

Hahaha mkuu pasco nimecheka sana aisee,
hivi ule mkakati wa wale wazee wa ada estate kupandikiza migogoro kwa Kakobe ili kumfutilia mbali uliishia wapi mkuu? Wale wazee wachungaji na shutuma zao hadi mahakamani waliishia wapi? Pengine wewe upo mjini waweza nijuza mkuu maana lile sakata hata lilivyopotea sijui!!
 
Wanabodi,
Saa hizi ni Saa 8:39 za usiku!, yaani usiku wa manane, nimepita nje ya kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, la Askofu Zakaria Kakobe, nikashuhudia mamia ya waumini wake wamekaa kwenye viti na meza nje ya kanisa hilo huku limepambwa na disco lights zinazobadilika badilika rangi, kwa mgeni aweza dhania ni night club fulani.

Nimeshauri asipuuzwe kwa sababu mimi ni mmoja ambaye ninatoa ushuhuda jamaa ana nguvu, yaani he has powers! Niliwahi fanya nae mahojiano miaka ya nyuma, nikamuuliza hiyo daraja ya Uaskofu alipewa na nani?. Alijibu na Mungu mwenyewe!. Nikauliza kuhusu tuhuma mbalimbali zinatupwa kwake na watu wa mataifa, zikiwepo yeye kuwa tajiri wakati waumini wake wako kwenye umasikini uliotopea, kuhusu Mkewe kuwa ndio Mweka hazina, kuhusu kama hayupo inawekwa kanda kuhubiri.

Na swali la mwisho nilimuuliza kuhusu ukweli kuwa waumini wake wanavuliwa dhahabu na anaziteketeza kwa moto, nikamuomba angalau anionyeshe lilipo hilo tanuru nishuhudie smelted gold deposits kwa macho yangu mwenyewe.

Askofu alinyamaza, akaniangalia machoni kwa kunikazia macho kama anahasira fulani, nami nikajisikia baridi ya ghafla nikataka kuanza kutetemeka na kusikia kizunguzungu ile staili ambayo hatimaye watu huanguka chini. Nikajishika imara kwenye kiti, nikwamwambia Askofu, nimeyaondoa maswali yangu yote, hana haja ya kuyajibu tena!. End of interview.

Huu ni uthibitisho tosha kuwa Askofu Zakaria Kakobe ananguvu fulani, hivyo sio wa kupuuzwa.

Kitendo cha kuwaona waumini wake kwa mamia, wanalala macho usiku kucha kwa kumsikiliza Askofu wao akiwaamuru kuhakikisha wanaipinga serikali in the name of God, ninaamini hao walala nje, wanalala macho hapo nje kwa imani 100 kwa 100 kuwa huko nako ni kumtumikia Mungu Baba na sio kumtumikia binadamu mwenye jina la Askofu.

Kwa lugha nyingine, Nguvu za Askofu Kakobe zimewahypnotize waumini wake kwa kiwango cha juu, kiasi kwamba, chochote atakachowaambia wafanye, watafanya, ndivyo ilivyokuwa kwa David Koresh na wafuasi wake wa Camp Davidians na Askofu Kibwetere na wafuasi wake ambao mwisho wao wote waliishia kuteketezwa kwa moto na kujilipua kwa mabomu kwa ahadi ya safari ya mbinguni kwenye uzima wa milele, imewadia!.

Kama kuna yoyote ambaye ni muumini ama aliwahi kuwa muumini akatusaidia sisi akina Tomaso, kwa kutupa ushuhuda wa msingi wa nguvu za Baba Askofu Zakaria Kakobe kama ni za Mwanga au za giza ili nasi tumuaminiye na tumfuate, vinginevyo huyu ni mtu mwenye nguvu za ajabu na siyo wa kupuuzwa hata kidogo!.

David Koresh wa Camp Davidian alipuuzwa hivi hivi, Joseph Kibweteere nae alipuuzwa hivi hivi, kilichofuata sote tunakijua.

NB. Mode, hii siyo ya dini na imani, ni ya politics of religion.

Paskali
Ni kweli kabisa. Na WEWE NDO WATU WANAPASWA KUKUPUUZA! Hapo umesema vema! Kwa jinsi ulivyovaa kwa nje ngozi ya kondoo lakini ndani ya moyo wako ni mbwa mwitu. Mimi tayari nimekupuuza sana.
 
Nikauliza kuhusu tuhuma mbalimbali zinatupwa kwake na watu wa mataifa, zikiwepo yeye kuwa tajiri wakati waumini wake wako kwenye umasikini uliotopea, kuhusu Mkewe kuwa ndio Mweka hazina.

Paskali
Jibu la swali hili limepatikana leo.

Bilioni 8!.

P.
 
Back
Top Bottom