Wala hii hali haina mda mrefu ndugu yangu kwa majbu ya akina mwigulu na chalamila kuwaona wanao hoji hawana akilini utayaona mwakani2 wala cyo mbali na itakua kubwa kulko ogopa sana watu wa kimya, endeleen kusema Mama anaupga mwingi
Chukua chumvi, mavuta ya taa na sabani ya ya unga changanya kwa uwingi inao jua utatosha kupulizia sehemu yako tumia Spray au kifaa chochote kinacho weza kusaidia kunyunyizia ukiwaona jua umelogewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimwangalia vzuri wala haiumizi kichwa kugundua kua alikua amelewa hivyo huyu alipaswa kupuuzwa japo kakosea sana.
Naamini angechana Biblia wala hakuna hata ambae angeipost maana wangempuuza na hakuna ambaye angepata hacra kwa hilo, sasa kwakua kachokoza mwenyewe nnafikiri apate kinacho...
Cyo DSTV pekee mkuu.hata continental hawana hiyo ya local chanel mkuu yaan hivyo kwel ila ninunyaswaji kwa kwenda mbele wangetuacha tulipe2 maana tushazoea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi mwenyewe nimepitia alivyo andika nmegundua kua kuna watu wanafanya uchochezi mkubwa na hawafanywi kitu hii cyo sawa ila wacha wafanye wajuavyo nnaamin Mda utasema haya nimapito2. Yaan mtu anaamka anaanza kutunga uongo aaah Watatufikisha kituoni2 maana Tushapanda Gari yao
Dah Mungu atupe ujasiri wanaume tunapitia wakati mgumu kwel.kumekua hatar kuliko club na Bar yaan unajkuta unapatwa na huruma ya Upendo maana cyo kwa ulain Wa mikono jaman ooooh Tupendane jaman tuweke mgomo
Pole sana mwanafamilia Wa clouds Arusha. Kunashort ilitokea ikaunguza Buster ya kurushia matangazo hapo mlima Wa Radio hvyo mafundi wako hapo wanarekebisha Tuvumilie kidogo mkuu najua inavyo uma
Unamatatzo kijna na bila kutendea haki ndoto utajikuta unafia ndoton ndoto kama hyo niyakutekeleza2 Maana Hugo kwanza cyo Mtanzania hapo unwakilisha Nchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.