mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,969
- 6,460
Ni swali, naomba kueleweshwa. Huyu mchana Kurani, mlevi, akiwa nje ya kazi, akiwa amelewa, amebishana kijiweni, akachana, huku akiwa anayumba yumba kwa ulevi, na baada ya kuchana hakuna madhara hatarishi ya kiusalama yaliyotokea.
Ghafla kasimamishwa kazi kwa kuchana Kurani. Waziri amefanya sawa kumsimamisha kazi kweli?
Kwanini hakutizama na kusisitiza walio juu yake waangalie hatua za kinidhamu, zilizopo kisheria zichukue hatua kama zipo? Au kwasababu Waziri naye ni Muisilam?
Naona amekuwa fasta sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ghafla kasimamishwa kazi kwa kuchana Kurani. Waziri amefanya sawa kumsimamisha kazi kweli?
Kwanini hakutizama na kusisitiza walio juu yake waangalie hatua za kinidhamu, zilizopo kisheria zichukue hatua kama zipo? Au kwasababu Waziri naye ni Muisilam?
Naona amekuwa fasta sana.
Sent using Jamii Forums mobile app