Kiberenge
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 1,102
- 1,031
Mkuu dawa ya kunguni sio dawa za kununua madukani... hawa wadudu hawarespond na hizo dawa hata kidogo.
Solution ni kuchemsha maji ya motoooo then mwagia chaga na kitanda chote kwa ujumla.
Then chukua godolo ulipige pasi(ule moto wa mwisho kabisa) .
Then fua mashuka kwa maji ya motooo sana..
Rudia hio procesure kil weekend kwa mwezi mmoja utakuwa umewamaliza kunguni woote
Miezi miwili iliyopita nilikutana na Maasai mmoja ktk duka la madawa ya kilimo nikitafuta dawa ya kuua paka anayekula kuku. Yeye alitaka dawa ya kuulia kunguni wakampa ile diazon. Akasema hii haiui. Sasa akawaambia wampe ile dawa ya kunyuzia ktk mimea inaitwa E40 ina hrufu kali sana. Akasema hiyo ndio inawaua. Ile dawa ikipigwa inatoa hrufu kewnye mimea hata siku 3 na zaidi.Habari wakuu!. Naomba msaada kwa anayejua dawa ya kumaliza kunguni kwa haraka. Msicheke nafanya usafi wote lakini bado nimepulizia rungu wapi, nasijui niliwatoa japo nna wasiwasi na kwenye basi moja la mkoani.
Mwamba kazingua upige pasi godoro dahNdo leo nasikia kwamba godoro huwa linapigwa pasi
Dawa ni lava tu ila harufu ndio keroW
Miezi miwili iliyopita nilikutana na Maasai mmoja ktk duka la madawa ya kilimo nikitafuta dawa ya kuua paka anayekula kuku. Yeye alitaka dawa ya kuulia kunguni wakampa ile diazon. Akasema hii haiui. Sasa akawaambia wampe ile dawa ya kunyuzia ktk mimea inaitwa E40 ina hrufu kali sana. Akasema hiyo ndio inawaua. Ile dawa ikipigwa inatoa hrufu kewnye mimea hata siku 3 na zaidi.
Zipo mkuu,kwenye maduka ya dawa za mifugo wapo wenye nazo...Diazon...........hii ni kiboko ila sina hakika kama ck hizi zipo madukani.
Kama mjuavyo wana JF, kuna mdudu korofi(kunguni) ambae hata ukiamua kumuachia chumba ili aspate chakula kwa muda wa miezi miwili unamkuta yupo tu anakusubiri. Sasa kama unaijua dawa nzuri au njia yoyote ya kuwateketeza hawa viumbe msaada tafadhali kwa manufaa ya wengine.
Karibuni