Wengine walikuwa Ba masharti arobaini na nne lakini walipofika 36 years old bila huyo mume sasa hawana sharti hata moja and still singali and searching..
ngoja ugonge 32 kwenda mbele afu upo single uone kama utakuwa na guts za kutaja hata sharti moja.
kila mtu na bahati yake wakuu, kuna wanawake wenye phd ni wake wazuri ever.. binafsi wife wangu ni kidato cha nne na hajielewi kama mke na utata usioisha sasa sijui itakuwaje akipata walau certificate tu?
hii inaweza kuwa na ukweli lakini jinsi ganiutajua sababu ya mwenza kutaka kuingia kunako ndoa? manake nahisi ni muhimu kujua sababu kabla hujaingia ndoani.
acheni kudanganya watu na kujipa moyo kijinga jinga, ualimu ni very challenging especially siku hizi.. eti muda wa kusimamia miradi? miradi ya kuuza bangi? unapangiwa sehemu hata network hakuna na watu ni very conservatives aaaargh mie najuta kwanini nilichagua hii kazi..
Im so proud of my mama, japo baba alikuwa na kazi yake nzuri ila mama ndo alifight elimu ya watoto wake wote kwa mshahara wa ualimu wake na baba kumuona ikikuwa ni nadra sana na siku ukimuona ni kpigiwa kelele za mipombe tu..
my old boy has never been an example to me hata siku moja japo siku...
kweli hata saa mbovu iko na sekunde moja ya kuonyesha muda sahihi katika kila masaa 24, lara 1 kathibisha hili leo..
ni ukweli ulio wazi wengi tuliolelewa na akina baba wa kiafrika kwa maana halisi ya uafrika ni kama tumelelewa na mama peke yake, manake wengine hata mwezi uliweza pita bila...
binafsi sioni tatizo lolote sababu hata wakuu wa siku hizi sio conservatives kwa hiyo nafasi ya kufanya mishughuliko mingine ni kubwa sana kama ukiwa MTU wa hivyo shida ni inferiority complex inayosababisha myopic perception ya kila kitu miongoni mwa waalimu wengi sana....
tatizo hapa mnashindwa kuelewa kwamba "gharama" ni relative term na sio absolute, kwa mfano wakati mleta Uzi analalamikia hiyo laki saba ya kununulia xperia z2 ati ni gharama kwake, kuna watu wanareply Uzi wake wakiwa mnemba island Zanzibar wamelipa 1 mil per single night..
"huonagi" kwa sababu labda "huwaonagi" hao wachambuzi wengine ili kujua uwezo wa doctor .....
kurahisisha hebu tutajie ambaye "unamuonaga" ana jipya katika uchambuzi...
mnaodai doctor hana uwezo huo hebu tajeni wa kumlinganisha nae hapa Africa hata Terry Paine Mbe name Thomas Mashala wa super sport jamaa wanamsomea mbali coz hata porojo zake ni from a unique perspective sababu ana exposure ya kuwazidi wachambuzi lukuki kitu ambacho asilimia kubwa ya...
mapenzi na mahusiano sio kama hisabati had I ufuate kanuni zote hizo ndio maana mnashindwa kuinjoy to its maximum sababu mnafanya "love engineering" kitu kinachoongeza ukakasi kwenye mapenzi na mahusiano, ni lazima ujue kwamba rafu ni part and parcel ya football na zina raha yake mchezoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.