Chishango
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 875
- 363
Huu ni unafiki, DED wa Mbinga ni bwana Ngaga? au DC ndio Ms. Ngaga? kitendo cha kuchanganya majina na jinsia kinaonyesha wewe ni mwongo mnafiki, umetumwa na unatumika kama toilet paper. Aliokutuma mwambie akupe data vizuri, angalau jinsia na majina basi. Bado unayo nafasi ya kuedit, your post. au wewe ni mkandarasi ulikosa tender kwa kutoa rushwa ndogo? ongeza dau ndo maisha ya kibongo hayo mpaka mtuondoe madarakani cha moto tutakuwa tumewaonyesha. Hii ndo serikali ya sisi maCCM. na next year tunamweka brother EDO hapo ndo dau la rushawa linapandam kama unalia saa hivi, next year utazimia kabisa.
DED anaitwa Hussein Ngaga na DC anaitwa Senyi Ngaga