Recent content by Autopsy

  1. Autopsy

    Kwanini watumishi wa Mungu hawamuelewi Goodluck Gozbert?

    Ana mwonekano wa kikekike, pia cheza yake na namna anavyoji-condition ni kishogashoga. Binafsi simuelewi kabisa. Toto la kiume utavaaje skintight na kuanza kujilambalamba midomo? Yesu ndio alifundisha huo uzwazwa? Basi akatike viuno tuelewe moja tu. Aimbe Taarabu.
  2. Autopsy

    Nikki wa Pili amvisha Pete ya uchumba mpenzi wake

    Kweli, ni UMAMA!
  3. Autopsy

    Clouds Media kuendesha shindano la DC bora, RC bora na Waziri bora. Washindi 5 wa kwanza kuzawadaiwa!

    Clouds are illiterate society that should never, and are so far incapable, to intervene serious matters like leaders’ affairs. It is never a respect for the same shit mouth (CMG) that spits praises on gays, homos, prostitutes, drug addicts and conmen, to also proclaim before the public and...
  4. Autopsy

    Yupo wapi Moze Iyobo wa WCB?

    Habarini Wanajamvi, Hivi yule “mwandani” na “mkaribu” haswa wa Msanii Diamond Platnumz zama zile ambaye pia alikuwa akiongoza “dancers” wake, Mozes Iyobo, yupo wapi siku hizi? Jina la Iyobo limekufa ghafla na si kawaida, sijui kama wenzangu mumelifahamu hili. Wakati huo ilikuwa ni nani...
  5. Autopsy

    Huyu mgonjwa wa mguu makutano ya Ubungo anajimaliza mwenyewe

    Ni mguu wa kulia kwa mujibu wa picha, na si ~kushoto~.
  6. Autopsy

    Mishahara ya tutorial assistant vyuo vya umma

    Nisaidie: • Lecturer ni Mhadhiri; • Assistant Lecturer ni Mhadhiri Msaidizi, na je; • Tutorial Assistant ni nani (kwa Kiswahili)?
  7. Autopsy

    Logo Logo!! Taswira ya biashara yako

    Kumbe unatumia ‘templates’? Sasa nani asiyeweza ku-customise? Kwa hizo ‘letterheads’ zako kuwa na maandishi LOREM IPSUM... ni dhahiri kuwa una-download VECTORS na MOCKUPS na kubadili mwonekano kidogo sana, huo si ubunifu. Kwa namna hiyo nitaamini vipi kama nembo (logo) zako siyo PLAGIARIZED?
  8. Autopsy

    Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

    Haiingii akilini, lakini kama mtoa uzi alishatangulia kusema kuwa huyo “Bwana” HAJUI KUSOMA WALA KUANDIKA, kwanini tuhangaike na mambo ya kubashiri badala ya kusoma Sayansi?
  9. Autopsy

    Clouds Media Group walia na ugumu wa biashara, Kusaga adai wanaweza kufunga hali ikiendelea hivi

    Sahihi, wajifunze kuendana na wakati. Sijasikia ‘Media’ nyingine zikilalamika, kwamba Clouds Media Group ndio waathirika pekee wa mabadiliko hayo? Kuna msemo, “To whom much is given, much is taken.” CMG, bila hiyana, ndiyo ‘Media’ iliyoongoza kibiashara kwa kipindi kirefu hadi sasa yalipotokea...
  10. Autopsy

    Makosa katika maandishi ya lugha ya Kiswahili, kwanini yanashamiri?

    Skitt's Law: "Any post correcting an error in another post will contain at least one error itself."
  11. Autopsy

    Fid Q : The King of Plagiarism of all the time

    Sema wewe Rebecca 83. Jamaa hajielewi kabisa huyu.
  12. Autopsy

    Fid Q : The King of Plagiarism of all the time

    Awali ulisema kuwa Fid-Q anakopi 'aidia' kutoka katika misemo (quotes) na sasa unasema anakopi nyimbo za watu wengine. Uone aibu, hujui hata unachosisitiza. Kadhalika, umetoa mfano mmoja tu wa 'quote' ambayo Fid-Q alikopi na kuweka katika mashairi ya muziki wake, na ninavyofahamu Fid-Q ana...
  13. Autopsy

    Fid Q : The King of Plagiarism of all the time

    Sidhani kama kuna 'idea' mpya kabisa kabisa Msanii anaweza kuja nayo ili awaridhishe watu wa sampuli yako. Hata nyimbo za wasanii wakubwa duniani, tayari zilishawahi kuimbwa na wasanii wengine kabla yao, tena wao wamepita mulemule -- bora hata ya Fid Q anayeleta mawazo yake kutoka katika...
Back
Top Bottom