Autopsy
Member
- Nov 18, 2018
- 13
- 14
Habarini Wanajamvi,
Hivi yule “mwandani” na “mkaribu” haswa wa Msanii Diamond Platnumz zama zile ambaye pia alikuwa akiongoza “dancers” wake, Mozes Iyobo, yupo wapi siku hizi?
Jina la Iyobo limekufa ghafla na si kawaida, sijui kama wenzangu mumelifahamu hili.
Wakati huo ilikuwa ni nani angemsogelea “mkulu” huyo wa WCB ama kushirikishwa mipango yake hata ya ndani zaidi ya Moze Iyobo?
Sikuhizi Diamond Platnumz ana ukaribu mkubwa sana na Rayvanny kuliko hata Harmonize ama msanii mwingine yeyote WCB. Tuseme ndio upepo unavuma kwa msimu?
Mwenye “update” yoyote juu ya huyu jamaa atushirikishe tafadhali.
Hivi yule “mwandani” na “mkaribu” haswa wa Msanii Diamond Platnumz zama zile ambaye pia alikuwa akiongoza “dancers” wake, Mozes Iyobo, yupo wapi siku hizi?
Jina la Iyobo limekufa ghafla na si kawaida, sijui kama wenzangu mumelifahamu hili.
Wakati huo ilikuwa ni nani angemsogelea “mkulu” huyo wa WCB ama kushirikishwa mipango yake hata ya ndani zaidi ya Moze Iyobo?
Sikuhizi Diamond Platnumz ana ukaribu mkubwa sana na Rayvanny kuliko hata Harmonize ama msanii mwingine yeyote WCB. Tuseme ndio upepo unavuma kwa msimu?
Mwenye “update” yoyote juu ya huyu jamaa atushirikishe tafadhali.