Clouds Media kuendesha shindano la DC bora, RC bora na Waziri bora. Washindi 5 wa kwanza kuzawadaiwa!

UDC na URC hauna performance indicators kwa maana ya kwamba hawatekelezi miradi katika ngazi zote zaidi ya kuwa ni wenyeviti wa mabaraza ya usalama katika mikoa yao.huwez ku mmeasure rc au dc katika basis ya utendaji wa kazi wa kila siku kwa maana hawana shughuli maalum zaidi ya kudandia dandia shughuli za maras na maded mara leo ni mahakimu,mara matraffic,mara mmafisa kilimo,mara maafisa maendeleo ya jamii kwa maana ya uhamasishaji.Kiufupi watu hawa hawana work plan na hawapimiki kabisa!Labda muwapime katika eneo la frequency ya kuonekana kwenye runinga!
 
Duuh sasa jokate kafanya kazi muda gani ,mjema sawa ,yupo tokea kipindi cha JK ,emetoboa kwa JPM
 
Viongozi wetu wanaoishi huku Patanumbe sidhan kama wanaruhusiwa kushiriki maana hata namba za waandishi wa habari hawana. Hilo zoez ni la Dar tu ambao hata kiongoz akienda kanisani anambeep mwandishi anakuja fasta
 
Viongozi wetu wanaoishi huku Patanumbe sidhan kama wanaruhusiwa kushiriki maana hata namba za waandishi wa habari hawana. Hilo zoez ni la Dar tu ambao hata kiongoz akienda kanisani anambeep mwandishi anakuja fasta
Hahahaa mkuu hapa iringa viongozi wetu tunawashuhudia sana luningani!
 
UDC na URC hauna performance indicators kwa maana ya kwamba hawatekelezi miradi katika ngazi zote zaidi ya kuwa ni wenyeviti wa mabaraza ya usalama katika mikoa yao.huwez ku mmeasure rc au dc katika basis ya utendaji wa kazi wa kila siku kwa maana hawana shughuli maalum zaidi ya kudandia dandia shughuli za maras na maded mara leo ni mahakimu,mara matraffic,mara mmafisa kilimo,mara maafisa maendeleo ya jamii kwa maana ya uhamasishaji.Kiufupi watu hawa hawana work plan na hawapimiki kabisa!Labda muwapime katika eneo la frequency ya kuonekana kwenye runinga!
Na hata Clouds wenyewe hawasemi vigezo ni nini?!
 
cm.PNG

cm.PNG
.
 
Mtangazaji wa Clouds tv Hassan Ngoma amesema CMG imeandaa shindano la kuwapata viongozi bora kwa ngazi ya DC, RC na Waziri.

Ngoma amesema washindi watano wa kwanza watapewa zawadi mbali mbali na shindano hilo kwa wakuu wa wilaya limeshaanza leo ambapo DC wa Ilala Dr Mjema na wa Kisarawe Jokate wanaongoza kwa kura.

Washindi kwa upande wa maDC watatangazwa Ijumaa hii, maRC watatangazwa Ijumaa ijayo na Mawaziri Ijumaa ya mwisho wa mwaka.

Source Clouds 360

Clouds are illiterate society that should never, and are so far incapable, to intervene serious matters like leaders’ affairs.

It is never a respect for the same shit mouth (CMG) that spits praises on gays, homos, prostitutes, drug addicts and conmen, to also proclaim before the public and comparatively analyse the honourable governors’ and senators’ reputations for the sake of getting the winner.

Such kinds of contests were to be run by reputable organs such as UONGOZI INSTITUTE whilst CMG would remain playing Amberutty and Konki’s stuffs.

Today’s CMG isn’t even worthy of naming Platnumz’s name, how possible for our serious leaders?

Can you imagine the hopless Mchomvu, B12 and or madam Soudy Brown mentioning elite names like Makamba’s in just no price? No, that’s childish shit and intorellable.

GOVERNMENT SHOULD BAN THIS IMMEDIATELY.
 
Mtangazaji wa Clouds tv Hassan Ngoma amesema CMG imeandaa shindano la kuwapata viongozi bora kwa ngazi ya DC, RC na Waziri.

Ngoma amesema washindi watano wa kwanza watapewa zawadi mbali mbali na shindano hilo kwa wakuu wa wilaya limeshaanza leo ambapo DC wa Ilala Dr Mjema na wa Kisarawe Jokate wanaongoza kwa kura.

Washindi kwa upande wa maDC watatangazwa Ijumaa hii, maRC watatangazwa Ijumaa ijayo na Mawaziri Ijumaa ya mwisho wa mwaka.

Source Clouds 360
Inamaana wamelenga zawadi zao ziende ccm tu? bora wangeshindanisha wabunge ili kuwe na chance ya mshindi kutoka chama chochote, pia wajiangalie wasipomtaja yule bwana kuwa ni mshindi saiv atakuja na mabomu kabisa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom