Habarini za jioni wana jukwaa,
Nimemaliza kidato cha NNE nikiwa competent katika HTML na CSS na tayari nimefanikiwa kuanzisha project zangu 2 za website. Nimeanza kujifunza java Siku chache zilizopita kwa kutumia application ya solo learn. Ninataka nisome java pamoja android apps development ili...
Aurelio Mofuga ana miaka 18, ametengeneza website ya www.elimuyetu.co.tz na aureliochelestino.6te.net. Mwaka huu amepewa tuzo ya TAYPA na pia anamalizia kitabu kuandika kitabu chair cha kwNza. Ni wiki 2 zimepita toka ahojiwe na bbc Swahili
Habari wadau Mimi nimemaliza kidato cha NNE mwaka Jana nimefanya maombi chuo cha Warwick UK naomba kujua kama kuna mawakala wa hicho chuo humu ndani au kama uliwahi kusoma pale tujuzane mambo mbalimbali kuhusu hiki chuo.
Mimi nimeomba kozi ya international foundation program ya mwaka mmoja...
Naomba msaada wa kutajiwa vyuo vizuri private Kwa kozi ya clinical medicine, itakuwa vizuri kama hicho Chuo kipo karibu na hospital ama ni university college, marks zangu ni bios-A Chemistry-A Physics-C maths-D mengine yote nina C. Asante
Kwa mini zisiwepo policy ambazo zitatulinda tukiwa tunatumia hii mitandao, mfano Kuna haja ya kuuliza mrithi wa account baada ya sisi kufariki ili tulindwe na pia Kwa nini wanauza Nanna zetu Kwa watu wengine bila kuturudishia hela zinazokuwepo humo, huu ni wizi
Naomba kujua baada ya mtumiaji wa Mpesa. Tigo pesa na huduma zingine kufariki account yake huishia wapi na je huweza kurithiwa kama wanavyofanya bank? Na Kwa nn hawaulizi mtu wa kurithi account zetu baada ya sisi kufa. Asante
Napenda kujua inakuwaje hadi programming language Inatengenezwa na je zile codes zake huwa zinawekwa sehemu yani kwenye computer na inakuwaje computer kama windows xp kuweza kuelewa latest languages kama apple swift wakati os ni muda mrefu Sana. Je ninaweza kutengeneza user defined programming...
kwangu mimi web developing ni part ya leadership natumia ujuzi wangu kutengeneza website ambazo ni msaada kwa jamii kama elimuyetu.co.tz. nimemaliza form 4 mwaka 2015 nafurahi kuwa digital change maker
habarini za saa hizi wadau, nina project yangu nimetumia php 5.5.15 na ikiwa kwenye localhost inafanya kazi vizuri, nimeiupload kwnye free hosting service kutoka hostinger, wao wanatumia php 5.5.32 kila nikiijaribu haifanyi kazi baadhi ya features na zingine zinafanya kazi vizuri na ninapata...
Habari za asubuhi wadau. Kuna project naifanya itahitaji kuwa na mamba hizo hapo Kwa ajili ya kutuma sms Kwa watumiaji. Ninaomba kuelekezwa ni wapi ninaweza kuzipata na vipi kuhusu programming ya hii system Nzima nitahitaji kutumia language zipi. Naomba Msaada pia kuhusiana na mambo yote ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.