OK ni hivi Passport ni kijitabu kidogo kinachokutambulisha wewe ni nani na picha yako itakuwepo umezaliwa wap mwaka gani na kadhalika na hiko kijitabu aka passport unaenda wizara ya mambo ya ndani kuomba ya nchini mwako! Sasa Visa ni muhuri utagongwa kwenye passport yako kukuruhusu kuingia nchi...
Bora uibiwe kuliko kufika huko ukakuta hamna cha kampuni wala ajira ni human traficking kwenda mbele! Utanyanganywa passport na kila kitu uanze kufanywa mtumwa wa ngono 😁😁😁😔
Sawa lakini hawa ccm dot com wana take advantage ya team hizi kuwafunga midomo wananchi!! Mfano mzuri mss tz fake bila watu kushikamana si angecheat kiulauni maana umoja ni nguvu mpaka ushaidi ukapatakini haya likaja scandal ya epa mara escrow na mengine mengi wanaogopa yatajitokeza!
Sioni cha ajabu hapo maana hizo mil : ni kwa watu 8 tena vip table na vinywaji bure fanya mahesabu msiogope! karibuni! Ila ki promi kama diamond kabania matangazo au kuna kamgomo flani amazing! Wake up diamond clouds 99.1 east africa radio sijaskia au nimepitwa!
Mpe muda endelea kumchunguza ila si kumwacha yawezekana malezi aliyopata ni tofauti maana na yeye anaweza kuwa anajua umetaka pesa zake kisa mchumba! Tusichunguzane kupitia pesa kwani vigezo vilivyofanya umpende sidhani kama ni pesa! Sofeza mbele tarehe huku ukimchunguza!
Katika wanaume 10 mfano wanawake wawili wanakuwa shared! Kwa maths hapo wanaoongoza ni wanaume! Wanawake wanaongoza kwa kufake relationship na kuvumiliamo ila men anashindwa kufake anachepuka mwisho wa siku wanajikuta men 10 wanawake 2 au 3 hapo chacha!
I mean Mungu Ampe nguvu mke wa marehemu
Nguzu na uvumilivu! It so sad! 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏How some people misuse God's words kwenye mambo ya uovu kama hii mesej ya husna! Ila leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.