Recent content by asuelo

  1. A

    JamiiForums Tanzania Kuna mlipuko kwenye daraja la Crimea asubuhi hii, Crimea ni daraja muhimu sana linalounganisha urusi na Crimea

    Halafu karibu pro Russia wengi wana maelezo marefu zero facts. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  2. A

    JamiiForums Tanzania Kanisa la EAGT rudisheni makanisa yenu yote mlikotokea TAG. Mnaichosha Serikali na migogoro yenu isoyoisha

    Nakumbuka kipindi Kuna kesi kati ya TAG na EAGT, jaji aliyepelekewa kesi alipofungua kinywa kuanza kusikiliza kesi alisema"Kwa kuwa watu hawa wanahubiri amani lakini wao wameshindwa kuitunza hiyo amani hivyo basi wamekuja kwetu tuwaamue". Hii migogoro ni aibu kwa watu wanojinasibisha ni wafuasi...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Urusi imeuvunja moyo wangu

    Siyo Kama unavusha maandazi ni Kama anaswaga man'gombe.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Wataingia wapi na wakati wameshakimbia?
  5. A

    JamiiForums Tanzania Marefa wa Tanzania na Wasaidizi wenu mpaka siku mkifa kwa kupigwa vibaya Viwanjani ndiyo mtajua kuchezesha Soka kwa Haki na siyo Chuki na Maagizo

    Kama haukuwa kwenye angle sahihi kwanini hakuamuru urudishwe sehemu sahihi na upigwe tena kama sheria inavyosema badala yake ukapigwa goal kick?
  6. A

    JamiiForums Tanzania Sababu Kumi za Trump kushinda( Maoni yangu)

    Fact.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Lissu na Kichwa cha Yohana Mbatizaji kwenye Sinia

    Akili kubwa Ubarikiwe mwanafasihi.
  8. A

    JamiiForums Tanzania Coronavirus bad karma for one term Donald Trump presidency

    Nimefundishwa kuwaheshimu watu naona nikiendelea kujibizana na wewe nitapungukiwa hekima. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. A

    JamiiForums Tanzania Coronavirus bad karma for one term Donald Trump presidency

    Mimi ni team Trump sawa, na wewe ni team ipi? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. A

    JamiiForums Tanzania Coronavirus bad karma for one term Donald Trump presidency

    Hata mpumbavu akinyamaza huhesabiwa hekima. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. A

    JamiiForums Tanzania Coronavirus bad karma for one term Donald Trump presidency

    Nimemwagia petrol kwenye shimo la nyoka. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. A

    JamiiForums Tanzania Coronavirus bad karma for one term Donald Trump presidency

    Mbona mnahangaika Sana? si tusubiri November,uchaguzi wa 2016 mmesahau? tangu lini huyo jenerali aliwahi kumuunga mkono Trump Mara hii mmesahau akina Bush na viongozi (baadhi) wa republican kutomuunga mkono 2016?what happened? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. A

    JamiiForums Tanzania Marekani yajitoa rasmi Shirika la Afya Duniani WHO

    Naona mnarudia tena kupiga ramli Kama 2016, sasa hivi kama hujui Trump amejipanga zaidi Kuliko 2016. Nimekuwa nikifuatilia timu yake ya kampeni nadhani mwezi wa 11 itakuwa ni massacre kwa Biden na ambavyo hawezi kuunganisha sentensi yatatokea mauaji Kwenye midahalo yao. Sent using Jamii Forums...
  14. A

    JamiiForums Tanzania Mwandishi wa Habari aharibu mkutano, Rais Trump aondoka

    Umeisikia Obamagate yaani subiri moto uwake zile fake news media zote wanaenda kuumbuka Obama naye amepanic ana mambo ya kiswahili sana. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom