Recent content by asubuhi sana

  1. asubuhi sana

    Tupeane maujanja ya Excel

    Duh okay sawa Mkuu
  2. asubuhi sana

    Tupeane maujanja ya Excel

    Mkuu telegram group lako liliishia wapi, ulikuwaga unatufundisha Fresh sana Excel tips ....
  3. asubuhi sana

    PICHA: Korodani zangu zinateketea vibaya mno

    mkuu kama umetumia dawa yoyote na bado hali iko vile vilee jaribu kutumiaa dawa hizi mana nilishawahi kupigwa na fangasi nikazitumia zikaleta manaikio makubwa…. Cha kwanza tumiaa dawa ya allergy - citrizin( dawa hii itakuondolea kama kuna muwasho ) Pili.. tumia dawa inaitwa Fluu… dose ni siku...
  4. asubuhi sana

    Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

    Nasikia wagonjwa wa Figo wameongezeka, hasa Vijana sasa hivi ni kutokana na utumiaji wa Pombe na ulaji mwingi wa Wanga !! Tumieni maji…. Kusafisha Figo kwa Wiki mara tatu, Bill ni @300,000+
  5. asubuhi sana

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Okay kuna Mizizi flani hivi ukitumia ina matokeo mazuri, hata kwa wale wasio ruhusiwa kula baadhi ya vyakula ila akitumia hiyo dozi imeleta matokeo chanya kabisa… Tumebarikiwa Miti tuitumie… ntakutajia jina ila hapa nalijua jina la huo mti kwakilugha ndo natafuta kiswahili chake
  6. asubuhi sana

    Ni hujuma kwa nchi za Kiarabu katika AfCON hii

    Maandishi uliyomaliziaa aisee sina la ziada kujua kichwa chako ni cha BOX
  7. asubuhi sana

    Nataka nianze kufuga ng'ombe wa kienyeji. Naomba ushauri

    Wazo zuri lakin zingatiaa kila baada ya miezi mitatu unawapatia vidonge vya minyoo vinauzwa Tsh 1000/= na Hakikisha wanakunywa maji safi kama unataka wapate afya njema kwa haraka zaidi, jitahidi kuwapatia mashudu ya alizeti pia, kila la kheri Ila kwa mimi ngombe 20 ni wengi mno mimi ningefuga...
  8. asubuhi sana

    Mrejesho: Biashara ya Nyumba za Kupangisha Vs Nyumba za Kulala Wageni

    Jitahidi, kufanya Biashara shirikiana na BodaBoda … wape offer ukileta mteja unachukua 2000… uone kama hautajaza hapo na kama ipo ndani ndani sana wakadrie kwa kuwapa 5000 mbona itajaa kila siku hiyo Lodge mpya… All the Best na Hongera sana Mkuu Asubuhi sana, Business Consultant.
  9. asubuhi sana

    Wachezaji wa Angola kuzawadiwa Million 20 wakiifunga Nigeria

    Hapo tubet corner over 9.5 mpaka 10.5 kabisa Yellow card over 5.5 uhakika hizi
Back
Top Bottom