Ccm haitatoka madarakani kwa kuondolewa na chadema bali itatoka siku wananchi wakionesha dhahiri kuwa wameichoka kwa vitendo maana upinzani nao ni wanafiki
Achana uongo ndugu, toka lini ukawa mzalendo kwa taifa lisilolako! Yaani prof Lumumba awe mzalendo kwa Tanzania!! Au kisa kapewa mtaa hapa DSM!, nembu rudishule ukasome maana ya uzalendo hiyo ya ccm inakupotosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.