Recent content by asalimbichi

  1. asalimbichi

    Serikali Yatangaza Ajira za Walimu

    Daa yani huyu mshikaji najuta kabisa kwanini amekuwa mkuu wa nchi
  2. asalimbichi

    Panya Anayemsema Nape ni Nani?

    Hahaha nape siku hizi amekuwa muhenga kwa kutoa NB Zenye ujumbe mubashara! Siasa za taifa letu bhana
  3. asalimbichi

    Lema: Bonde la uvuli wa mauti - Mkakati umepangwa nikamatwe na Jeshi la Polisi leo, maelekezo yameshatolewa

    Ccm haitatoka madarakani kwa kuondolewa na chadema bali itatoka siku wananchi wakionesha dhahiri kuwa wameichoka kwa vitendo maana upinzani nao ni wanafiki
  4. asalimbichi

    Mwenye ufahamu jinsi ya kupata namba za vocha bila kununua?

    Mzee baba wakuje bhana maana vyuma vimekaza
  5. asalimbichi

    UJUMBE WA JOTI: Usiogope Kula maisha Coz Maisha yana tabia ya kutula sisi

    Sawa joti kulamaisha ila ukumbuke na wazazi
  6. asalimbichi

    Babu aliyemfanyia tohara dogo Janja afunguka,asema Uwoya ni size yake

    Magazeti kama haya ni yakufungia maana wamekosa cha kuandika! Watanzania wanamatatizo kibao yakuandika then with profesional wanaandika utumbo huu
  7. asalimbichi

    Nini dawa ya mwanamke anayekutukana mara kwa mara?

    Mtukane na yeye atafeel maumivu kama yako then ataacha
  8. asalimbichi

    PLO Lumumba: Rais Magufuli Amesema Umefika Wakati Tulime Pamba, Tutengeneze Nguo, Tuvae, Zikichoka Tuwatumie Wazungu.

    Achana uongo ndugu, toka lini ukawa mzalendo kwa taifa lisilolako! Yaani prof Lumumba awe mzalendo kwa Tanzania!! Au kisa kapewa mtaa hapa DSM!, nembu rudishule ukasome maana ya uzalendo hiyo ya ccm inakupotosha
  9. asalimbichi

    Thamani ya maneno POLE na SAMAHANI katika Mahusiano

    Msamaha ni kuwaomba wazazi tu hao wengine akiona umeomba msamaha atakutesa tu
Back
Top Bottom