issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,781
- 5,205
gazeti kama hili huwezi kusikia hata likikemewa na msemaje wa serikali au waziri. subiri sasa yale yanayoandika madudu ya serikali uone yanvyofanyiwaBabu mmoja Arusha amewatoa hofu mashabiki waliodai dogo janja huenda akawa anachapiwa mzigo na vijana wabemba nondo mjini,amedai kwa jinsi anavyomfahamu dogo janja alivyo lazima Uwoya atulie kabisa,pia ameongeza hata kama wangekuwa Wolper,Uwoya ,Wema na Aunt Ezekiel pamoja lazima wote wangetulia tu.