Babu aliyemfanyia tohara dogo Janja afunguka,asema Uwoya ni size yake

Babu mmoja Arusha amewatoa hofu mashabiki waliodai dogo janja huenda akawa anachapiwa mzigo na vijana wabemba nondo mjini,amedai kwa jinsi anavyomfahamu dogo janja alivyo lazima Uwoya atulie kabisa,pia ameongeza hata kama wangekuwa Wolper,Uwoya ,Wema na Aunt Ezekiel pamoja lazima wote wangetulia tu.
New-Doc-2017-11-01_3.jpg
gazeti kama hili huwezi kusikia hata likikemewa na msemaje wa serikali au waziri. subiri sasa yale yanayoandika madudu ya serikali uone yanvyofanyiwa
 
dogo janja hata balehe hajamaliza kwenda kujitwika zigo ndio nini jamani......genye za balehe zikimuisha atajilaumu sana
Kwanza ni kweli au kik nnya
Mbona kadi ilikua na jina Pierre?
Teh mi habari za uwoya zimenikinaisha
 
Magazeti kama haya ni yakufungia maana wamekosa cha kuandika! Watanzania wanamatatizo kibao yakuandika then with profesional wanaandika utumbo huu
 
Magazeti ya udaka mengi yafutwe na shilawadi siona cha maana zaidi ya ujinga tu
 
Tangu atahiriwe ni Leo kwa dini yao na mila tohara ni kati ya miaka 4hadi 9.pili angekuwa na hogo habari zingesambaa kitamboo.iyo uza gazet lako tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom