Nguvu zipi hizo unazoziongelea?hizi kauli zimeanzwa kusemwa toka enzi za kina mrema wakiwa wapinzani wakuu katika nchi hii mpaka leo bado story ni zilezile tuu,ni wakati wa kureact bahati mbaya waliokuwa mstari wa mbele kureact leo ndo wanaitwa wasaliti...
Kalaghabao endeleeni kulalamika tuu,CCM haitatoki madarakani kwa kulalamika kwenu itatoka kwa nguvu. Na wenye nguvu ndio wataiteka na kuitawala hii nchi.
Siwezi kulia na endelea kutaarifu umma kwamba demokrasi inazidi kupita ktk majaribu makubwaWewe ulishasema jela ni seblen sasa unalialia nn si unataka kwenda seblen kwako? Tulia dawa ipenye
Tulia dawa ipenye mshamuita dikteta sasa mnalia lia nn dikteta anajua nn kuhusu demokrasia?Siwezi kulia na endelea kutaarifu umma kwamba demokrasi inazidi kupita ktk majaribu makubwa
Lema analilia demokrasia wakati katelekeza mtotoView attachment 625418
Neema Godbless Lema... Binti wa kwanza wa Mh Lema, mtoto huyu ni mwanafunzi wa chuo cha nursing huko Ilembula mkoani Njombe, alikataliwa na Lema toka akiwa mtoto na sasa anasomeshwa na kulelewa na mama yake huku ada ikisua sua elihali Lema unakula bata mjini... Wanaishi Moshi
Mh Lema mm nakukubali sana, napenda kazi zenu kama Chadema as whole... Ni mzaliwa wa ngulelo Arusha, nakuomba pamoja na yote embu msaidie huyu binti..