Wakati joto la bei ya sukari ikiendelea kuwa juu na wakati kiwanda cha TPC moshi kikiwa kimefungwa km ilivyo utaratibu wake wa kila mwaka kukarabati mitambo yake, inadaiwa tajiri mkubw hapa nchini alifanya kazi ya ziada kukusanya tani za kutosha toka kiwandani hapo na kuzifungia kwenye gowodn...
Bado sijawa convinced na hili bandiko.... Naweza Ongea kidogo kuhusu mzee Mpango... Huyu mzee kwa taarifa za ndani yupo clean sana kwenye swala la integrity na mambo ya ufujaji fedha.... Hao wengine cant comment but Ndulu anaonekana mpiga dili vile... Hasa issue ya escrow naona km hakuna namna...
Nina wazo la kuinvest kwenye mashamba ya miti ya mbao au milingoti, mwenye uzoefu kwenye sekta hii naomba ushauri namna ya kuanza, gharama za mwanzo hasa kwa anaenza small scale maeneo ya iringa na tanga please nijuze
Huyu mtu barbarosa naona ameanza kuchanganya mambo, kuwa dr si lazima uwe na PhD, Dr Godwin Mollel ni daktari wa upasuaji wa Meno wa binadamu.
Amefanya kazi kama Daktari Hosptitali ya mkoa wa Manyara, Babati kwa miaka ya kutosha, kisha akawa Mganga mkuu wa Hospitali ya Seliani mkoani Arusha...
Mi nafikiri apewe nafasi pale TRA.... yule aliyekaimishwa ile nafasi ya Ukamishna mkuu (km sijakosea) akishindwa huyu maza apewe hiyo nafasi... she will probably benefit our country if used properly.....
ila usikate tamaa.... yawezekana hapa ulipopasemea kuna msaidizi wake amesoma tayari na litafanyiwa kazi.....
Ninachojua kwa uchache Magufuli ni msikivu.....
Mtayaona mengi tu ya namna hii.... Magufuli ni binadamu tu km mimi na wewe.... amelelewa na mzazi km mzazi wako, amesoma shule ulizosoma wewe, km ulienda UD basi ulikuwa unishana na ye zile coridors za chuoni pale, naye yawezekana alishagomaga km wewe ulivyogoma, alishashika chaki akifundisha...
Naelewa hiyo sentensi ya maguffuli lakini kupambana na majangili ni neno pana sana, lazima huyu jamaa atakuwa na sifa za ziada kisomi za kudeal na hiyo issue, is not that mechanical..... jus thinking.....
Hahahaha.... hii inafurahisha sana, kwamba unaweka mjeshi ili akamate majangili??? Kweli kabisa??? Sidhani km lilikuwa kusudio la Magufuli kumweka huyu jamaa, katibu mkuu wa wizara is bigger than kukamata majangili, CV ya ya huyu jamaa tunaihitaji ili kujiridhisha kuwa hatuka kimechanic zaidi...
Ban requeat sent to moderators.... this stupid religious biases can not be tolerated.... misamaha ya kodi ni kwa mashirika yte ya kidin siyo wakristo tu....
Please ban huu uzi melo, inviisible and etc
Hii itakuwa habari njema sana ya kuanzia mwaka 2016 km itakuwa kweli, siiamini amini vile!!!! Sijui vigogo waCCM km watakubali kweli pamoja na presha za marekani na kwengineko... wenyewe washaanza kusalitiana so ujue kitanuka sana!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.