Mimi kuna mmoja naye hivyohivyo na aliniambia hataki kuchezewa na kuachwa hivyo nijipange nikajitambulishe kwao hata kwa ndugu zake wachache,nikamkubalia hata kwa wazazi wake ila ndio hivyo mara nikipiga simu yake nakuta busy...mara hajibu msgs ila eti bado anasema mimi ndio ntajuwa mume wake...
Mimi sikai kwetu ila Wewe ndio Duwanzi kweli usiyetaka kujua ni sababu ipi inayowafanya baadhi ya wanaume kuendelea kuishi kwenye familia zao.
Kuna wengine wana uwezo wa kujitafutia wenyewe kabisa na wamejenga mbali na home kwao ila kuna sababu zinazowafanya waishi huko kwao. Usije ukafikiri...
KWASABABU:- Ni rahisi sana Mwafrika kuburutwa na kuadopt culture ya mzungu na kuishi kaaabisa lifestyle ya kizungu kuanzia mavazi,chakula mpaka malazi.
Ni vigumu kwa Mhindi,Mwarabu au Mchina kuiacha culture yake na kuifuata na kupractice ya wazungu.
Pia hali ya kiuchumi ya Waarabu,Wachina na...
Mkuu wala usilalamike,mara nyingine hizo ni balaa na mikosi inapita mbali nawewe. Cha muhimu mwombe Mwenyezi Mungu akupatie mtu sahihi huku nawewe ukichunguza vizuri na kujenga uchumi wako. Wewe ni mwanaume hata ukioa ukiwa na 40 somethings huko hakuna tatizo.
NI HIVII:-
kimaadili inapaswa mtoto wa kike akitoka kwao aende kwa Mumewe. Pia akiishi nje ya nyumba yao iwe kwasababu maalum labda kuishi hostel au rent house kwajili ya kusoma. Ila Ukilazimisha eti kisa binti ana above 25 aishi getto ni UHUNI.
Kwa Mwanaume pia inategemea na sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.