Yule mke wa kachero wa TANAPA...

Yule mke wa kachero wa TANAPA...

Ninaona mnashambulia sana wanawake wa wamachame hapa. Ukweli utabaki kuwa kana familia ikifikia kutoelewana kubaya hasira hazina cha mchaga. Je na mauaji ya mke wa Lihundi naye alikuwa mchaga? Wapo wanandoa wengi wameuana au kuendeana kwa waganga ili kutesana. La muhimu hapa ni kujitahidi kuwa na maelewano kati ya mke na mume kwani nyie ndiyo wa mwandani wako kuliko hata ndugu yako. Anakujua madhaifu na mazuri kuliko hata mzazi wako.

Back to the killer. So far hatujahakikisha kuwa huyu mama ndiye mhusika mpaka itakapothibitishwa japo kwa kutafakari kibinadamu circumstances zinaonyesha ushiriki. Ila kwa wamachame kwa Mali na pesa usiwachezee. Na please, wachaga wa pande nyingine wako poa sana hivyo usifanye generalisation.
 
yaan ata mm nimefikiria the same,angemuwekea basi ata sumu jaman kuliko kumuua kikatili

Sumu nyingi ni traceable kirahisi sana maana anaweza kukamatwa aliemlisha mpaka aliemuuzia alieipeleka kwa muuaji. Zile ambazo haziachi ushahidi, ni vigumu kuzipata na hupatikana kwa vyombo vyenye shughuli nyeti.
Kwa upande wa mapanga, hilo tukio lingefanywa na wataalamu waliotuliza akili, lilikuwa sahihi kumlinda alielikusudia lakini kwa mazingira hayo, aliefanya ni amateur labda kama waliotekeleza walikusudia ionekane hivyo. Mfano, kama alichinjiwa ndani, traces za damu huwa hazifutiki hata kama pangepigwa deki na mataulo kutokuonekana. Hilo ni jambo ambalo professionals wanajua. Katika alama za damu, alama za nyayo, viatu alivyovaa muuaji na hata fingerprints zinapatikana. Kingine ni position ya marehemu wakati anauwawa, movement ya muuaji, idadi ya waliohusika ni kati ya mambo yanayoweza kupatikana kirahisi katika mazingira kama hayo.
Naamini vyombo vinavyohusika vitampata tu muuaji, wataalamu wapo ingawa hawawi advertised kwenye Tv.
 
Jamani mbona mpambano wa hao madada wawili umetoweka mi nlishanunua popcorn zangu hapa naenjoy mnyukano wa Eva Chumvi na the said punga.....pls #bringbackourmatch
 
Mkuu, huyo aliyejinyonga alikuwa akiishi wapi? Alijinyonga mwaka gani? Maana Nafahamu tukio kama hilo lililotokea mwaka jana kwa mume wa mwanamke wa kabila hilo. Nisingependa kuwazungumza vibaya hao wanawake wa kabila hilo ila sijui kwanini coincidence zinakuwa nyingi.
Kuna jamaa mwingine alikuwa kwenye magazeti, nae alikufa katika mazingira ambayo mpaka leo ndugu zake wanahoji, nae alioa hilo kabila na aliacha mali za maana ikiwamo nyumba mpya ambayo hakuishi ndani yake kwa zaidi ya mwezi.
Inaamsha udadisi kidogo.

Ni wa Arusha mkuu,na huyo mama sasahv ndio amebaki anamiliki nyumba aliyojenga huyo baba,anaishi na kijana wake mmoja.
 
Ni wa Arusha mkuu,na huyo mama sasahv ndio amebaki anamiliki nyumba aliyojenga huyo baba,anaishi na kijana wake mmoja.

Basi ya kwangu ni incident tofauti inayoongeza idadi ya matukio kama hayo maana imetokea Dar.
 
That's Jesus' image basing on latest histo-scientific findings.And I call it "Jesus' New Model" teh teh teh.Merry Christmas.

Dah nina imagine itawezekana kweli waondoe zile statues, posters zote wa replace na hii sura....lets wait and see...Jamaa waliazisha ubishi kuwa jesus ni mtu wa middle east kwahiyo awe na features kama warabu na nasio kama picha zake za sasa....Anyway ...we live, we learn..Merry Christmas to you too
 
Kuna kabila la Waarusha. Mix ya mmasai na mmeru/mchagga.

Wana tamaduni km za wamasai ila uchumi wao ni sedentary km wameru au wachagga.

Mmmmh!Hakuna kitu kama hicho it is either mmasai,mmeru,or mchaga vinginevyo ni uongo hakuna kitu kama hicho.Kuna modern maasai ndo wanajiitaga waarusha lakini kiuhalisia ni wamasai period.
 
Umeandika kama una uhakika sana muuaji ni mke wa marehemu ili hali upelelezi unasema baada ya uchunguzi wa kina kijana wa kazi amekiri kuhusika na mauaji hayo....Wacha tuone kijana atasema ni nani alimpa kazi hiyo...Utata ni mkubwa na ninabanwa na sheria ya makosa ya mtandaoni ningeweza sema jambo..

Aaaaaa!!!! We nawe!!! ubishi tu. Au hufuatilii vyombo vya habari?
 
Back
Top Bottom