Trosard ni mtu na nusu kaka sema tu arteta ajampa nafasi vya kutosha..
Hivyo habari ya muddy haina Mashiko ukiongeza na price yake zidi ya Trosard me naona ka tulilamba dume..
Binafsi niwapongeze wana Chelsea kwa matokeo na mpira mzuri mlocheza Jana, japo timu yenu Bado haijakaa vyema..
Ukijaribu fuatiliya mechi ya Jana mbali na kucheza vizuri na kutengeneza nafasi nzuri still hamkutumia ata moja, hivyo magoli mlopata ni kama bahati nje na nafasi mlopata, (1-penati...
Naomba nikukumbushe kaka, swala la mudy alitusumbui vichwa kwani Jana kafunga but aliyeletwa kuwa mbadala wake pia katimba ndani na kafunga, so automatic ilipunguza maumivu,
Ahsante kwa goli la Trosard...😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.