Hakuna kiongozi nitakayemheshimu maisha yangu yote kama Kenyatta kwa kweli anajua maana ya separation of power.Hajakosea kwa hili alilolifanya naamini atashinda kwenye hayo marudio ya uchaguzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha wale zege watanzania walio wengi wanashinda na kulala njaa.Wakibahatisha mlo mmoja wanamshukuru Mungu.Hao mawaziri kwao mambo super hakuna waziri ambaye mwanae anajua mlenda,si vibaya baba kuteseka ili mwanae apate raha.
1:Sikujua kama ni mke wa mtu
2:Mwanzoni nilitumia kinga baadae tulivyopima tukawa huru kuchenjuana bila soksi
3:Hatukusaini mkataba wowote ilitokea accidentally.
Ni bora ungetoa ushauri ndugu kuliko kutoa tusi zito kama hilo yani unajua kumwita mtu kinikia kwa kipindi kama hiki unakua humtendei haki.Kinikia ni tusi la mwaka.Pia elewa psychologically siko vizuri.Tambua kua yule dada alishauriwa asitoe mimba na mama yake mzazi baada ya usuruhishi kufanyika...
Habari za asubuhi wapendwa?
Ni mwaka mmoja sasa tangu nilipokutana na dada mmoja kwenye gari.Dada yule sikuwa nafahamiana nae kabla ya siku hiyo ya safari na nilikua sijawahi kumuona popote.
Siku niliyokutana naye tulikua ndani ya Toyota hiace inayobeba abiria kutoka huku kijijini niliko kwenda...
Hata kama hawakua na kibali cha maandamano polisi hawakufanya vizuri kwa kweli.Hiyo video huwezi kuitazama mara mbili inasikitisha sana.Utawala gani huu usiojali utu?Mwigulu Nchemba hili si la kufumbia macho inabidi utuoneshe ile dhana ya uwajibikaji.Jitafakari mh.Mwigulu na ufanye uamzi sahihi...
Ningekuwa na mshahara kama wako stress zote nilizonazo zisingekuwepo.Matumizi yangu yasingezidi laki tano kwa mwezi tena hapo ningekuwa naishi maisha ya starehe sana.Kusaidia ndugu na jamaa haizuliki kwa mwezi ningetenga laki tatu tuu.Mafuta ya gari na pikipiki yangegharimu laki...
Wako vizuri kwa virushi vyao vya internet mb nyingi lakini kwa maeneo yaliyoko mbali na mji huwa wanasuasua sana internet iko slow kupita maelezo.Voda kwa vijijini mtandao una kasi kuliko mingine tatizo lao ni wezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.