Mimi Kila siku asubuhi na mapema naenda kumwagilia kabla ya kwenda ofisini, na jioni napoludi home napitia ndipo naludi home. Na siku ofisini kukiwa hamna kazi hiyo siku ntashinda na mafundi nawasupport na story za hapa na pale jioni nageuka nao pamoja.
Hii ni kazi kwakweli. Kila sehemu matamko yaongoza taifa, kunamaana gani ya kuwa na kanuni na taratibu. Kwa hizi taratibu sasa hata sheria za nchi hazina kazi tena, haswa haki ya kikatiba ya mwananchi wa kitanzania ipo ukingoni kupotea. Hii hali sio nzuri kwa Tanzania sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.