Msaada Tiba ya maumbile madogo

Msaada Tiba ya maumbile madogo

Wabongo kujifanya mnajua wakati hamjui
Mnapigwa..yale mafuta ya nazi wanawapiga ma ostazi..hahah..wee wa mkoan nin shehke..mjin tupo kitambo..mnapigwa..hiv unajua ku extract mafuta ya kitunguu swaumu upate mils hata 30 unahitaj kitunguu swaum kias gan..? Sasa nenda kaulize au google kwanza halaf rud hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnapigwa..yale mafuta ya nazi wanawapiga ma ostazi..hahah..wee wa mkoan nin shehke..mjin tupo kitambo..mnapigwa..hiv unajua ku extract mafuta ya kitunguu swaumu upate mils hata 30 unahitaj kitunguu swaum kias gan..? Sasa nenda kaulize au google kwanza halaf rud hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba kitunguu swaumu ukikamua huwezi toa mafuta? Kachupa kadogo kanauzwa elfu kumi... Nikuulize ukinunua vitunguu swaumu vya elfu kumi huwezi kupata mafuta ya kujaza kwenye kile kichupa cha kuwekea dawa ya sindano? Yaani umri huu nisijue tofauti ya mafuta ya nazi na mafuta ya kitunguu swaumu? Utakuwa na matatizo wewe.. hata tukitaka mafuta yako yanaweza kupatikana
 
Mnapigwa..yale mafuta ya nazi wanawapiga ma ostazi..hahah..wee wa mkoan nin shehke..mjin tupo kitambo..mnapigwa..hiv unajua ku extract mafuta ya kitunguu swaumu upate mils hata 30 unahitaj kitunguu swaum kias gan..? Sasa nenda kaulize au google kwanza halaf rud hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20220129-221446.png

Hii ni nini we choko? Eti mjini kitambo 🚮🚮🚮
 
Hahah..maneno ya kujifarij haya kaka...mwanamke akiona mashine ya manaa lazima achangamke..utamwona tu usoni...hahah...na utaona anawai kuifanya kama koni...hapo ujue ameipenda mashine...achana ma mambo ya kuridhisha..manaa kuridhisha hata kidole kinaweza mridhisha..ishu ni hyo satisfaction ya kujiamin na kupendwa.hakuna mwanamke anapenda mashine ndogo..wanawapa tumain tu.hahah..huu ndo ukwel kaka..ts like useme wanawake wanapenda watu wafupi..hahhaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Life is vice versa bro,
 
Kwamba kitunguu swaumu ukikamua huwezi toa mafuta? Kachupa kadogo kanauzwa elfu kumi... Nikuulize ukinunua vitunguu swaumu vya elfu kumi huwezi kupata mafuta ya kujaza kwenye kile kichupa cha kuwekea dawa ya sindano? Yaani umri huu nisijue tofauti ya mafuta ya nazi na mafuta ya kitunguu swaumu? Utakuwa na matatizo wewe.. hata tukitaka mafuta yako yanaweza kupatikana
Yaan kabisaa ostaz akukamulie mafuta ya kitunguu swaum akuuzie elf 10?..., Narudia tena..mnapigwa vibaya...nenda kaongee nao vzur watakwambia ukwel...kariakoo mitaa yangu hyo hunidangany kitu..wauza tende wale wakukamulie mafuta ya vitunguu swaum?hahaha...ni sawa wanaopigwa wale wanaouziwa mafuta ya mzeituni.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan kabisaa ostaz akukamulie mafuta ya kitunguu swaum akuuzie elf 10?..., Narudia tena..mnapigwa vibaya...nenda kaongee nao vzur watakwambia ukwel...kariakoo mitaa yangu hyo hunidangany kitu..wauza tende wale wakukamulie mafuta ya vitunguu swaum?hahaha...ni sawa wanaopigwa wale wanaouziwa mafuta ya mzeituni.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mimi kuna mahali nimeandika " maustaz wanakamua mafuta"? Au nimesema kuuza. Kwani ukiuza vitu lazima utengeneze wewe?
 
Sawa..ila sio ya hapo kkoo..hayo si umetoa gugo..weka ya kkoo halaf ntakwambia hayo ni ya kula sio ya garlic..choko

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umesema niende gugo.. nimeenda nimekuletea... halaf nani hapa ameongelea kariakoo? Inaonekana wewe maisha yako yote ni hapahapa Tanzania, hujawahi kwenda nchi za watu ukaona zaidi ya hiyo kariakoo. Acha kujifanya unajua kila kitu wakati kichwani ni empty..
 
Wewe umesema niende gugo.. nimeenda nimekuletea... halaf nani hapa ameongelea kariakoo? Inaonekana wewe maisha yako yote ni hapahapa Tanzania, hujawahi kwenda nchi za watu ukaona zaidi ya hiyo kariakoo. Acha kujifanya unajua kila kitu wakati kichwani ni empty..
Mkuu una elimu gan kwanza? Nsije nkawa napoteza muda hapa..maana mtu anaeamin ukipaka mafuta ya garlic inarefuka kuna uwezekano ana elimu ndogo na uelewa mdogo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu una elimu gan kwanza? Nsije nkawa napoteza muda hapa..maana mtu anaeamin ukipaka mafuta ya garlic inarefuka kuna uwezekano ana elimu ndogo na uelewa mdogo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Sina muda hata wa kukujibu... ulisema hakunaga mafuta ya garlic, nikakuonyesha. Sasaiv unaulizia elimu yangu. Acha kujifanya unajua wakati hujui kitu. Fact kama ni mpya kwako jifunze, sio kujifanya eti wewe ni " born town" wakati ni mburula tu
 
Sina muda hata wa kukujibu... ulisema hakunaga mafuta ya garlic, nikakuonyesha. Sasaiv unaulizia elimu yangu. Acha kujifanya unajua wakati hujui kitu. Fact kama ni mpya kwako jifunze, sio kujifanya eti wewe ni " born town" wakati ni mburula tu
Kwamba nilisema hakuna mafuta ya garlic au nilisema hayo mafuta huko kkoo hakuna mnapigwa mnauziwa ya kula...mzee unazid nidhihirishia kitu hapa...

Na nikakwambia kabisa unajua ku extract mafuta kutoka kwenye garlic upate hata 30 mils inahitak uwe na garlic kias gan?si nilikuuliza..sasa mbona unataka geuza nionekane kama nilisema hakunaga mafuta ya garlic ever.....mkuu nmekuuliza una elimu gani???..naomba unijib tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba nilisema hakuna mafuta ya garlic au nilisema hayo mafuta huko kkoo hakuna mnapigwa mnauziwa ya kula...mzee unazid nidhihirishia kitu hapa...

Na nikakwambia kabisa unajua ku extract mafuta kutoka kwenye garlic upate hata 30 mils inahitak uwe na garlic kias gan?si nilikuuliza..sasa mbona unataka geuza nionekane kama nilisema hakunaga mafuta ya garlic ever.....mkuu nmekuuliza una elimu gani???..naomba unijib tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utakuwa choko sio bure..mimi nilimwambia jamaa anaweza pata hayo mafuta kwenye misikiti mbalimbali hapa nchini popote alipo..wewe umekazania kariakoo.. kariakoo...huko ndo kuna basha wako nini? Mwanzo ulisema nigugu hakunaga mafuta ya garlic..nimekuletea ushahidi, sasa hivi unageuka tena kwamba hukukataa. Wewe sema huna hoja, ulijifanya kujua, nimekudhalilisha vibaya. Period!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom